Habari yako mwana-JF?
Nataka kujihusisha na ukopeshaji wa fedha kwa ngazi ya chini (yaani Tshs. 50.000-Tshs.200,000), ningependa kujua kwa ukopeshaji huu, ni utaratibu gani utumike ili nifanye shughuli hii kwa ufanisi zaidi? Haswa katika kuhakikisha fedha inarudi kwa wakati? je, nitengeneze mkataba? au shaidi? maana kimsingi BLERA hawanitambui na mkataba wa makubaliano sijauunda.
Ushauri tafadhali.
Nataka kujihusisha na ukopeshaji wa fedha kwa ngazi ya chini (yaani Tshs. 50.000-Tshs.200,000), ningependa kujua kwa ukopeshaji huu, ni utaratibu gani utumike ili nifanye shughuli hii kwa ufanisi zaidi? Haswa katika kuhakikisha fedha inarudi kwa wakati? je, nitengeneze mkataba? au shaidi? maana kimsingi BLERA hawanitambui na mkataba wa makubaliano sijauunda.
Ushauri tafadhali.