Afadhali chupi ya mtumba

Afadhali chupi ya mtumba

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Shirika la viwango nchini (TBS) limetangaza rasmi kuzuia uingizaji, usambazaji na uuzaji wa Nguo za ndani kama shumizi, tight, soksi brazia chupi nk
Ni hatua nzuri japo kuna mengi ya kuangaliwa , kuna vichafu vingi tunalishwa daily kuna sumu nyingi tunalishwa daily na hivi vitu vina madhara makubwa kwetu mno kuliko hata hayo magagulo ya mtumba

Kuna michicha tunalishwa kila Siku, michicha hii na mboga nyingine nyingi za majani zina madhara makubwa kimwili kwakuwa maji yaliyotumika kuukuza yako contaminated ile mbaya, mbolea yake hivyo hivyo udongo wale nao umo, hivyo tunakula sumu bila kujua

Kuna haya mayai ya kizungu na nyama yake ya kuku, Zipo habari mbalimbali kuwa kuku wa nyama hupewa ARV's na vidonge vya uzazi wa mpango ili wakue haraka, kuna kesi nyingi tu zinahohusiana na hili. Yale mayai nayo si mazuri hata Kidogo

Kuna haya maji tunayo nawa kwenye vyoo vya jumuiya kwenye mabar na Sehemu za vyakula, matanki yake ukiuliza yalisafishwa lini mara ya mwisho hutapata jibu, tunafahamu majiyetu ya Ruvu juu na chini yalivyo, ukipitisha mwezi tu hujasafisha matanki na madumu Nyumbani ni kasheshe

Kuna hivi vyombo tunavyotumia kila Siku kwenye mahoteli mabar vioski nk, glass kwenye vilevi zinatia kinyaa licha ya maji kuwa machafu lakini pia glass zinaoshwa kwenye karai 2 moja lenye sabuni la pili la kusuuzia , maji ni yaleyale mwenye tb yake au magonjwa mengine ya kuambukiza wote humohumo

Kuna sahani vijiko vikombe vyote hivi ukiviangalia vimebeba virusi na vimelea vya magonjwa kibao usafi wake si wa kuridhisha kabisa

Kuna mengi mno ambayo yanatuambukiza magonjwa kama kansa, tb minyoo kuhara na magongwa mengine mengi tu ya kuambukiza

Naungana na TBS kupiga marufuku Nguo za ndani mtumba lakini na hayo mengine pia yatizamwe kwa makini
Sitaki kufa mapema bado naipenda JF
 
Btw wanawake wengi ndo wanaopenda mitumba,na huwa inawapendeza

Hakika umelichungulia hilo, absolutely yes!
Sie wanaume kuhusu nguo za ndumwa ni Socks, na Bukta tu!
Jamaa sasa! Vyupi, Socks , Braa , Sumizi , Vipedo , na vile vishot trouser vilivyokaa kaa'socks (sijui wanaviitaje)
 
Btw wanawake wengi ndo wanaopenda mitumba,na huwa inawapendeza

Kama nyie mnavyopenda kununua tupensi twa ndani twa mtumba, vesti za mtumba na tule tuchupi flani hivi tupo kama skin tight!

Mtumba unapendwa na wengi, wake kwa waume!!!
 
Hakika umelichungulia hilo, absolutely yes!
Sie wanaume kuhusu nguo za ndumwa ni Socks, na Bukta tu!
Jamaa sasa! Vyupi, Socks , Braa , Sumizi , Vipedo , na vile vishot trouser vilivyokaa kaa'socks (sijui wanaviitaje)

Ila kwakweli vitu kama braa, shimizi na underskirt za mtumba......... Tz yetu hii vitatudhuru wengi aisee!
 
Kama nyie mnavyopenda kununua tupensi twa ndani twa mtumba, vesti za mtumba na tule tuchupi flani hivi tupo kama skin tight!

Mtumba unapendwa na wengi, wake kwa waume!!!

Wanaume hatununui kama nye,najua hata mikanda ya kufingia trouser zinazofaa ni za mitumba,viatu vya mtumba,mwanaume akivaa mtumba ataonekana wa low level ila kwenu poa
 
Hakika umelichungulia hilo, absolutely yes!
Sie wanaume kuhusu nguo za ndumwa ni Socks, na Bukta tu!
Jamaa sasa! Vyupi, Socks , Braa , Sumizi , Vipedo , na vile vishot trouser vilivyokaa kaa'socks (sijui wanaviitaje)

Ndo hivo mkuu,hata bukta yenyewe hatuvai siku hizi,zipo madude special so unadhani sitauzwa mtumbani?
 
Hakika umelichungulia hilo, absolutely yes!
Sie wanaume kuhusu nguo za ndumwa ni Socks, na Bukta tu!
Jamaa sasa! Vyupi, Socks , Braa , Sumizi , Vipedo , na vile vishot trouser vilivyokaa kaa'socks (sijui wanaviitaje)
[emoji3] [emoji3] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wanaume hatununui kama nye,najua hata mikanda ya kufingia trouser zinazofaa ni za mitumba,viatu vya mtumba,mwanaume akivaa mtumba ataonekana wa low level ila kwenu poa

Ndo hivo mkuu,hata bukta yenyewe hatuvai siku hizi,zipo madude special so unadhani sitauzwa mtumbani?
 
Hivi wakizuia chupi za mtumba mpaka vile viBIKINI navyo pia wanazuia?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Hivi wakizuia chupi za mtumba mpaka vile viBIKINI navyo pia wanazuia?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]vile vikamba kamba?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]vile vikamba kamba?
Ndio. Sasa vile vinazuia nini wakati kiuzi tu kimepita, wakivizuia naandamana[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Ndio. Sasa vile vinazuia nini wakati kiuzi tu kimepita, wakivizuia naandamana[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Hahahaaa
 
Ni kweli tangia kuingizwa kwa nguo za ndani tumepata matatizo sana kwenye fangasi na hii inaitwa yutiai ni sababu ya nguo hizi za ndani
 
Ni kweli tangia kuingizwa kwa nguo za ndani tumepata matatizo sana kwenye fangasi na hii inaitwa yutiai ni sababu ya nguo hizi za ndani
Mkuu unataka kusema vyoo vyetu vilikuwa visafi kabla ya kuja nguo za mtumba? Maana sijaelewa bado kama U.t.i inatokana na nguo za mitumba au vyoo vichafu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Ni kweli tangia kuingizwa kwa nguo za ndani tumepata matatizo sana kwenye fangasi na hii inaitwa yutiai ni sababu ya nguo hizi za ndani

Mkuu unataka kusema vyoo vyetu vilikuwa visafi kabla ya kuja nguo za mtumba? Maana sijaelewa bado kama U.t.i inatokana na nguo za mitumba au vyoo vichafu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Nijuavyo zile nguo ziko sterilized.. Na zimeshahudumiwa na madawa ya kila aina kabla ya kusafirishwa
 
Vema ukiwa na historia ya magonjwa mapya yameingia kati ya miaka ipi itatusaidia hata kupambana wewe unazungumzia maambukizi wakati wa ugonjwa hatukuwa nao miaka ya kabla ya hizo nguo mkuu
 
Back
Top Bottom