Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vema ukiwa na historia ya magonjwa mapya yameingia kati ya miaka ipi itatusaidia hata kupambana wewe unazungumzia maambukizi wakati wa ugonjwa hatukuwa nao miaka ya kabla ya hizo nguo mkuu
bandamo ukilisoma andiko langu sipingani na uamuzi wa TBS... Kwanza ni hatua nzuri Lakini nimetoa angalizo kwenye hayo maeneo mengine niliyotajaMkuu hukumbuki kuwa tuliambiwa condom inazuia maambukizi ya ukimwi ilikuwaje ile condom ya "USA" ilipo mwagwa ukanda wa jangwa la Sahara wazungu wanatutakia mema
Kumbe tupo pamoja mkuu vema yaka kale ni dhahabu tuwe na utamaduni wa kuweka historia ya magonjwa yanavyo ingia wazungu wana mbinu nyingi mno miaka ya nyuma hatukuwa na vioo tulijisaidia vichakani hatukupata uti Leo vioo vya sink visafi iweje tunaathirika. TBS hawana wanacho tusaidia vingi tunaathiliwa navyo wao wanagonga mihuri tu kuwa ni salama angalia vinywaji hivi vimetengenezwa kwa kemikali wamepitisha harafu tunalalamika kansa imezidibandamo ukilisoma andiko langu sipingani na uamuzi wa TBS... Kwanza ni hatua nzuri Lakini nimetoa angalizo kwenye hayo maeneo mengine niliyotaja
Nimekupata vemaKumbe tupo pamoja mkuu vema yaka kale ni dhahabu tuwe na utamaduni wa kuweka historia ya magonjwa yanavyo ingia wazungu wana mbinu nyingi mno miaka ya nyuma hatukuwa na vioo tulijisaidia vichakani hatukupata uti Leo vioo vya sink visafi iweje tunaathirika. TBS hawana wanacho tusaidia vingi tunaathiliwa navyo wao wanagonga mihuri tu kuwa ni salama angalia vinywaji hivi vimetengenezwa kwa kemikali wamepitisha harafu tunalalamika kansa imezidi
Naam kuna sehemu nimejibu nikagundua sikuelewa vizuri nilikuwa nje ya maada kama is wewe mkuu basi tuendelee na somoMimi ama!?
[emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji120] [emoji120] [emoji120]
sio kweli mkuu ..wanaume hatununui nguo za mitumba kwa wingi kama nyinyi aiseeKama nyie mnavyopenda kununua tupensi twa ndani twa mtumba, vesti za mtumba na tule tuchupi flani hivi tupo kama skin tight!
Mtumba unapendwa na wengi, wake kwa waume!!!
[emoji124] [emoji124] [emoji113][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]vile vikamba kamba?
Wakifanya hivyo watakoseaHivi wakizuia chupi za mtumba mpaka vile viBIKINI navyo pia wanazuia?[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
hahahah sipo huku[emoji124][emoji3] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] [emoji119][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji115]
Tumia plastiki pia ujue madhara yake.Ndo maana nikiwa kwa bar huwa sipendi kutumia grasi