Sio Mimi ninayesema Tanzania ina amani, wivu wako ndio tatizo, UN kupitia vitengo vyake vya Transparency International na HRW ndivyo vilivyoiweka Tanzania namba 54 duniani na Kenya namba 123, kwahiyo hasira na wivu wako kwa Tanzania punguza, badala yake waulize UN kwanini wanasema Kenya ni miongoni mwa nchi hatari zaidi duniani?Amani ya wafia chama na wasifia mungu mtu ndio unaongea kuhusu? Ipo wapi amani ya hao wengine waliosalia, au wao sio watanzania wenzako? Haki yao ambao imelindwa kwenye katiba ikivurugwa bado unasema kwamba wao wana amani? Yaani wauawe, wapigwe risasi, wapotezwe, watekwe na wasiojulikana, mikutano yao iharamishwe, alafu bado unasema kwamba wanaishi kwa amani. Umerogwa wewe?
Ukiwa na ukabila kichwani unakuwa mtu pumbavu sana.Ukishakuwa mwanaCCM unakuwa mjinga
Baada ya Kenya kuwa na katiba mpya nilitegemea kutakuwa na maendeleo lakini leo wakenya wanazidi kuwa maskini wakati wanasiasa wakizidi kuwa mabilionea.
Ingekuwa vizuri kwa wakenya kurudi kwenye mfumo wa zamani wa serikali ili maendeleo yapatikane. Hii mambo ya magavana na county ni hasara kubwa sana kwani fedha nyingi za maendeleo zinaishia mfukoni mwa wanasiasa ambao ni mafisadi wakubwa.
Sasa kwanini na ninyi msifuate UK badala yake mnatumia muda mwingi na pesa nyingi katika kuandika "useless Constitution?".
Hivi kwanini kila kitu ninyi wakenya lazima mtumie mifano ya wazungu ndio muonekana kwamba mnalofanya ni sahihi?. Ninyi ni wa pumbavu sana kuliko tulivyokua tunawafikiria.
Acheni ujinga wenu wa kuwaona wazungu kama Mungu. Unadhani kwa kutumia mifano ya wazungu sisi tutababaika?, bure kabisa ninyi. " Kenya not yet Uhuru ".
Ninyi hiyo katiba mpya imebadilishaje maisha na " attitude" yenu?. Bado mnathamini lugha ya mkoloni, bado ardhi yenu iko chini ya wakoloni, bado majaji wenu wanavaa nywele za wakoloni. " Kenya not yet Uhuru".
Tumejitawala, tunamiliki uchumi WETU wenyewe, tunatumia lugha yetu wenyewe, ardhi na uchumi tunaumiliki sisi wenyewe, sio kama ninyi bado mambo Mengi ikiwemo ardhi na biashara nyingi zipo chini ya wazungu.
Hayo yote nenda kawaambie UN ambao ndio wenye jukumu la kukusanya taarifa za nchi zote duniani, waulize wamewezaje kujua kwamba Tanzania kwa Amani ni namba 54 wakati hakuna Uhuru wa habari?.Unaruka ruka tu bila formular. Hujui lolote kuhusu katiba, utekelezaji wa katiba wala utawala wa sheria. Habari zote ambazo unazisikia kuhusu rushwa na vita dhidi ya ufisadi ni kwasababu ya hiyo hiyo katiba. Katiba ya Kenya imewapa watu uhuru wa kuhoji, kuonesha hisia zao na kufukua chochote kile ambacho wanataka, bila uoga! Tena chini ya katiba ya Kenya ni haki ya kila mwananchi kupata habari au takwimu zozote ambazo ataagiza kutoka kwa serikali. Hivi vitu havikuwa hapo awali na ndio maana haimaanishi kwamba hapo awali hakukuwa na uovu wowote ule. Nyinyi hata kumhoji tu rais kuhusu 1.5 Tr. hamuwezi mkathubutu. Eti kutoa takwimu ambazo sio kutoka kwa serikali ni hatia.
KikuyuuLugha gani hyo yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hayo yote nenda kawaambie UN ambao ndio wenye jukumu la kukusanya taarifa za nchi zote duniani, waulize wamewezaje kujua kwamba Tanzania kwa Amani ni namba 54 wakati hakuna Uhuru wa habari?.
Acha kukimbia ukweli kwamba Kenya mnaongoza kwa
1)Ukabila
2)Rushwa
3)Crime
4)Slums
5)Hunger
6)Nepotism
7)Big gap between rich and poor
8) Deni kubwa la taifa
Sasa haya unahitaji bunge lirushwe live ndio vijulikane. Jirekebisheni acheni ujuaji nchi inasambaratikana hiyo.
Kikuyuu
Kwahivyo mna 'amani' kwasababu mnainajisi katiba yenu ya mkoloni na Kenya haina amani kwasababu inafata utawala wa sheria chini ya katiba mpya? Hizi ndio huwa zinaitwa akili za kuvukia barabara. Sina la ziada.Sio Mimi ninayesema Tanzania ina amani, wivu wako ndio tatizo, UN kupitia vitengo vyake vya Transparency International na HRW ndivyo vilivyoiweka Tanzania namba 54 duniani na Kenya namba 123, kwahiyo hasira na wivu wako kwa Tanzania punguza, badala yake waulize UN kwanini wanasema Kenya ni miongoni mwa nchi hatari zaidi duniani?
Ila wanatukanwa na rais anayepaswa kuwa mfano wa kuheshimu MAHAKAMA, anawaita wahuni/ wakora na kwamba atawashughulikia. Hadi Leo MAHAKAMA imetoa AMRI kwamba Miguna Miguna arudishwe nchini na arudishiwe passport yake, lakini serikali imekataa kuheshimu MAHAKAMA, eti mnasema Kenya ina demokrasia. Kenya ni nchi ya hovyo sana katika ukanda huu.Lkn hao majaji hawaburuzwi
Vipi Jaluo mnaowachinja kila uchaguzi, nyama zao mnapeleka wapi?Ulaji wa albino unafinika hyo list kw mbali sana...
Yani hatari zaidi ya hatari, na haijawahi tokea..only in tanzania
MAHAKAMA ilipoamuru Miguna Miguna arudishwe nchini lakini serikali yenu imekataa kutii AMRI ya MAHAKAMA, huko ndio kufuata utawala wa sheria?, viongozi wa dini kule pwani kupigwa risasi na kuuwawa hovyo ndio utawala wa sheria?.Kwahivyo mna 'amani' kwasababu mnainajisi katiba yenu ya mkoloni na Kenya haina amani kwasababu inafata utawala wa sheria chini ya katiba mpya? Hizi ndio huwa zinaitwa akili za kuvukia barabara. Sina la ziada.
Vipi Jaluo mnaowachinja kila uchaguzi, nyama zao mnapeleka wapi?
MAHAKAMA ilipoamuru Miguna Miguna arudishwe nchini lakini serikali yenu imekataa kutii AMRI ya MAHAKAMA, huko ndio kufuata utawala wa sheria?, viongozi wa dini kule pwani kupigwa risasi na kuuwawa hovyo ndio utawala wa sheria?.
Wivu wenu kwa Tanzania hausaidii kitu. Amani ya Tanzania imethibitishwa na UN, ninyi endeleeni kupigana risasi kwa misingi ya ukabila, mwaka huu mtashika namba 160 duniani.
Ila wanatukanwa na rais anayepaswa kuwa mfano wa kuheshimu MAHAKAMA, anawaita wahuni/ wakora na kwamba atawashughulikia. Hadi Leo MAHAKAMA imetoa AMRI kwamba Miguna Miguna arudishwe nchini na arudishiwe passport yake, lakini serikali imekataa kuheshimu MAHAKAMA, eti mnasema Kenya ina demokrasia. Kenya ni nchi ya hovyo sana katika ukanda huu.
Kwahivyo mna 'amani' kwasababu mnainajisi katiba yenu ya mkoloni na Kenya haina amani kwasababu inafata utawala wa sheria chini ya katiba mpya? Hizi ndio huwa zinaitwa akili za kuvukia barabara. Sina la ziada.
Leo tumeona Gavana wa Mombasa akipewa share ya kibiashara kwenye SGR na kuwatupa watu wa Coast. Gavana wa Migori ameua binti mdogo lakini kutumia pesa na nafasi yake yupo free. Gavana wa Kiambu ameiba mabilioni ya fedha lakini yuko free. Utasema hii nchi ina katiba nzuri. Hapa Tanzania leo wale wezi wote wanajipanga kurudisha fedha waliyoiba.Linganisha kati ya kuangalia "Bunge live" na Kuwepo kutokuwepo kwa rushwa, kipi ni muhimu?, kupata habari na kupata amani kipi muhimu?, takwimu na ukabila lipi muhimu?, katiba na amani, kipi muhimu?.
Ninyi hiyo katiba imezidisha rushwa, tribalism, jobless na kuongeza hali ngumu ya maisha kwa wakenya, mnaanza kulalamika punda anechoka, nchi inazidi wa na Madeni. Hivi kuna nchi ya hovyo hapa Africa zaidi ya Kenya?. Wakenya wengi wanaomba kuja kuishi Tanzania, nchi yenu hovyo kabisa.