Nimekuambia uniambie idadi ya watu wenye albism waliouliwa kuanzia 2016 hadi 2019, badala ya kunijubu, unaniuliza Mimi nikuambia hii ya lini. Stupid.
Acha ujinga wako, nimekuambia MAHAKAMA ilitoa AMRI kwamba Miguna Miguna aruhusiwe kurudi Kenya bila masharti yoyote na arudishiwe passport yake ya Kenya, lakini serikali yenu dhalimu imekataa kutii AMRI hiyo halali ya mahakama, sasa hizo kesi zingine zinahusikanaje na kumruhusu kurudi Kenya?.
Miguna Miguna yupo nje ya nchi anapata taabu akisubiri kurudi Kenya, lakini serikali yenu ya kipumbavu haitaki kufuata na kutimiza AMRI halali ya MAHAKAMA, unataka kupoteza lengo na kuingiza kesi zingine zisizohusiana na kurudi kwake.
Kwanini Serikali yenu haitaki kutimiza AMRI ya MAHAKAMA ya kumruhusu arudi nchini kwake na kumrudishia Passport yake?. Serikali yenu ni hovyo sana.
Soma post yangu #33, wewe ukajibu #38. Ina maana hata unachokijibu hukijui wala hukumbuki. Mimi nimezingumzia kitendo cha serikali ya Kenya kushindwa kutimiza AMRI halali ya MAHAKAMA kwa kumrudishia passport yake na kumruhusu kurudi Kenya, wewe ukajibu kwa kusema kesi yake bado ipo kotini, sasa kama MAHAKAMA ilishasema arudishwe nchini, kwanini Serikali haitimizi hilo agizo na wala haikukata rufaa kupinga hiyo hukumu?, huo utawala wa sheria na demokrasia ya Kenya ni ipi kama serikali ndio inaongoza kwa kupuuza MAHAKAMAWapi hapo ulisema mahakama ilitoa amri aruhusiwe kurudi serikali ikakataa...
Si wewe uliyekataa km alaikua hana kesi mahakamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbna wajichanganya...
Serikali iliktaa wapi, sitaki maneno mimi leta ushahidi nikuumbue sasa hz
Angalia tarehe hapoSoma post yangu #33, wewe ukajibu #38. Ina maana hata unachokijibu hukijui wala hukumbuki. Mimi nimezingumzia kitendo cha serikali ya Kenya kushindwa kutimiza AMRI halali ya MAHAKAMA kwa kumrudishia passport yake na kumruhusu kurudi Kenya, wewe ukajibu kwa kusema kesi yake bado ipo kotini, sasa kama MAHAKAMA ilishasema arudishwe nchini, kwanini Serikali haitimizi hilo agizo na wala haikukata rufaa kupinga hiyo hukumu?, huo utawala wa sheria na demokrasia ya Kenya ni ipi kama serikali ndio inaongoza kwa kupuuza MAHAKAMA
Soma post yangu #33, wewe ukajibu #38. Ina maana hata unachokijibu hukijui wala hukumbuki. Mimi nimezingumzia kitendo cha serikali ya Kenya kushindwa kutimiza AMRI halali ya MAHAKAMA kwa kumrudishia passport yake na kumruhusu kurudi Kenya, wewe ukajibu kwa kusema kesi yake bado ipo kotini, sasa kama MAHAKAMA ilishasema arudishwe nchini, kwanini Serikali haitimizi hilo agizo na wala haikukata rufaa kupinga hiyo hukumu?, huo utawala wa sheria na demokrasia ya Kenya ni ipi kama serikali ndio inaongoza kwa kupuuza MAHAKAMA
Hivi wewe una akili kweli?. Hizo kesi mbili zinahusianaje na hukumu ya MAHAKAMA kutotekekezwa?, acha kuleta Maneno Mengi ili kupoteza lengo.Hyo kutorudhishiwa passport ilikua hta kabla ya hyo kesi aliyoshinda...
Sai bado ako na kesi km mbili hvi zinaendelea...Angalia tarehe hapoThen ucheki na hiiCode:Ukurupukaji mbaya sanaView attachment 1239103View attachment 1239105Code:
Hivi wewe una akili kweli?. Hizo kesi mbili zinahusianaje na hukumu ya MAHAKAMA kutotekekezwa?, acha kuleta Maneno Mengi ili kupoteza lengo.
MAHAKAMA ilitoa AMRI kwamba arudishiwe passport yake bila masharti na arihusiwe kurudi Kenya?, kwanini hadi Leo bado serikali yenu imekataa kutekeleza amri halali ya MAHAKAMA?. Sasa huo utawala wa sheria na demokrasia ya katiba mpya vipo wapi?
Hivi wewe una akili kweli?. Hizo kesi mbili zinahusianaje na hukumu ya MAHAKAMA kutotekekezwa?, acha kuleta Maneno Mengi ili kupoteza lengo.
MAHAKAMA ilitoa AMRI kwamba arudishiwe passport yake bila masharti na arihusiwe kurudi Kenya?, kwanini hadi Leo bado serikali yenu imekataa kutekeleza amri halali ya MAHAKAMA?. Sasa huo utawala wa sheria na demokrasia ya katiba mpya vipo wapi?
Mna uhuru gani nyie labda wa kuwa mashogaUnakariri tu pumba na vitu vya kipuuzi. Ila ukweli unaujua, katiba yenu ya karne iliyopita imewakwaza kweli kweli. Hadi haki msingi ya kupata habari, takwimu na data kutoka kwa mihimili yote ya serikali mnanyimwa. Vitu vya kawaida kwa wenzenu kama hivi hapa, Bunge Live, huwa mnaviona tu kwenye movie. Yaani mnaishi kianalogue wakati dunia inasonga mbele kwenye nyakati za kidigitali, ni aibu kubwa.
Enjoy.
Ingekua wajua kusoma ungeielewa katiba yetu vyema badala ya kufyatua mdomo Kama panya bukuMna uhuru gani nyie labda wa kuwa mashoga
Kwanini MAHAKAMA haijatekeleza AMRI ya kumrudishia passport yake na kumruhusu kurudi Kenya?Heheee...ugua pole pole, unaongelea vitu vya 2018 march mm nmekupa kesi aliyoshinda december 2018...sasa unapinga nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
Ama umeumia kuskia miguna kashinda kesi dhiki ya serilali..kitu ambacho ni nadra upande ule mwengine...
Na km serikali haiheshimu mahakama, mbna ilipotengua uchaguzi serikali haikutunisha misuli bali ilipiga kelele na mwisho uchaguzi ukafanyika tena...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382]
Heheee...kwhyo ni uongo, ukileta taarifa wewe kutoka youtube ni ya kweli, lkn mm unapinga...haya basi ni propaganda za mabeberu
We jamaaa unavuta bangi tena mbichi angalia zitakuvukisha nguo kwa barabara.
Hiyo video sio ya miaka hii.
Leta habari ama taarifa kuanzia 2016 inayoonesha mauaji ya albino.
Kwanini MAHAKAMA haijatekeleza AMRI ya kumrudishia passport yake na kumruhusu kurudi Kenya?
Jichekie tarehe we mwenyeweView attachment 1239332
Kwan kiswahili lugha ya taifa gani ama wajitoa akili?
Yani unairuka tena kauli yako ya kutoka 2016We jamaaa unavuta bangi tena mbichi angalia zitakuvukisha nguo kwa barabara.
Hiyo video sio ya miaka hii.
Leta habari ama taarifa kuanzia 2016 inayoonesha mauaji ya albino.
Hao watu wamefungwa walofanya hilo tukio.
Je hiyo ni current news???
2019 hii toka inaanza mpk inaisha ushawahi sikia kifo chochote ama unyanyasaji wa albino??
Hiyo still ni past news.
Na hyo habari imetokea muda ila kesi hiyo ndiyo inazungumziwa.
We mtu hadi kutibiwa ameshatibiwa it means sio jana wala juzi hyo kesi.
Na watu walishatiwa ndani.
Mna uhuru gani nyie labda wa kuwa mashoga