Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Habarini waungwana
Nimebadili mtindo wa mavazi lakini bado napewa salamu na wadogo zangu mtaani.
Uzi wangu wa kwanza hapa JF nilisema kwamba wengi wanakosea kutafsiri umri wangu mitaani, wanadhani nina umri mkubwa kumbe bado sijafika huko.
Nilipata maoni na wengi walinishauri nibadili style ya mavazi yangu, nilijaribu kufanya hivyo lakini sikuona matokeo yoyote.
Nimeshindwa kuvaa nguo za vijana wa mjini hasa jins za kubana, T shirt zenye picha ya 2 pac, vipensi vifupi mapaja yote nje, au zile suruali pana mithili ya kitambaa cha mashine ya kusaga unga.
Nimeamua kuendelea kuvaa kama mwazo tu, yaani simple shati na suruali ya kitambaa au cadet. Japo still naitwa mzee lakini sina budi kukubaliana na hali halisi.
Ni heri niitwe mzee lakini sio niitwe barobaro au bishoo.
Rejea: Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?
Nimebadili mtindo wa mavazi lakini bado napewa salamu na wadogo zangu mtaani.
Uzi wangu wa kwanza hapa JF nilisema kwamba wengi wanakosea kutafsiri umri wangu mitaani, wanadhani nina umri mkubwa kumbe bado sijafika huko.
Nilipata maoni na wengi walinishauri nibadili style ya mavazi yangu, nilijaribu kufanya hivyo lakini sikuona matokeo yoyote.
Nimeshindwa kuvaa nguo za vijana wa mjini hasa jins za kubana, T shirt zenye picha ya 2 pac, vipensi vifupi mapaja yote nje, au zile suruali pana mithili ya kitambaa cha mashine ya kusaga unga.
Nimeamua kuendelea kuvaa kama mwazo tu, yaani simple shati na suruali ya kitambaa au cadet. Japo still naitwa mzee lakini sina budi kukubaliana na hali halisi.
Ni heri niitwe mzee lakini sio niitwe barobaro au bishoo.
Rejea: Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?