Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #21
Sidhani kama muonekano wa mavazi ndy sababu, nimesema nilijaribu kubadili bila matokeo yoyote.Utakuwa una muonekano wa kizee ndugu yangu. Lakini kwani kuamkiwa inakukera nini hasa mkuu?
Sijasema muonekano wa mavazi nimesema labda muonekano wa sura ikisindikizwa na kipara. 😆Sidhani kama muonekano wa mavazi ndy sababu, nimesema nilijaribu kubadili bila matokeo yoyote.
Sina kipara na wala uso wangu hauna tatzo loloteSijasema muonekano wa mavazi nimesema labda muonekano wa sura ikisindikizwa na kipara. 😆
Huo mshale una ishara au maana gani MkuuSawa....
Una paja?Habarini waungwana
Nimebadili mtindo wa mavazi lakini bado napewa salamu na wadogo zangu mtaani.
Uzi wangu wa kwanza hapa JF nilisema kwamba wengi wanakosea kutafsiri umri wangu mitaani, wanadhani nina umri mkubwa kumbe bado sijafika huko.
Nilipata maoni na wengi walinishauri nibadili style ya mavazi yangu, nilijaribu kufanya hivyo lakini sikuona matokeo yoyote.
Nimeshindwa kuvaa nguo za vijana wa mjini hasa jins za kubana, T shirt zenye picha ya 2 pac, vipensi vifupi mapaja yote nje, au zile suruali pana mithili ya kitambaa cha mashine ya kusaga unga.
Nimeamua kuendelea kuvaa kama mwazo tu, yaani simple shati na suruali ya kitambaa au cadet. Japo still naitwa mzee lakini sina budi kukubaliana na hali halisi.
Ni heri niitwe mzee lakini sio niitwe barobaro au bishoo.
Rejea: Watu wanadhani umri wangu ni mkubwa tofauti na umri wangu halisi, je sababu yaweza kuwa nini?
Ninayo mawiliUna paja?
sio mimi, huyo anaitwa Charles MansonHuyo alie kwenye avatar ni wewe Mkuu?
Kama ndio wew mbona kama kweli umezeeka hivi
Basi watakuwa wanakuheshimu kupitiliza wakidhani wakikupa salamu ya kisela labda watakuwa wanakudharau.Sina kipara na wala uso wangu hauna tatzo lolote
Mimi pia naheshimu watu wote, huenda itakuwa wana reflect backBasi watakuwa wanakuheshimu kupitiliza wakidhani wakikupa salamu ya kisela labda watakuwa wanakudharau.
Yamenona?Ninayo mawili
Hiyo sio Lugha nzuri kuitumia kwa mwanaume mwenzakoYamenona?
Kwani imekupandisha ashki?Hiyo siyo Lugha nzuri kuitumia kwa mwanaume mwenzako
Hiyo sio Lugha nzuri kuitumia kwa mwanaume mwenzako.Kwani imekupandisha ashki?
Ila nguo zingine zinakuwa kubwa mno,unaweza zoa matakataka!Nguo za kubana kiukweli hazipendezi, hasa kwa mtu ambaye unajali heshima ya muonekano wako.
Ila endelea kutafuta unaweza ukapata size nzuri itakayo kutosha
Sikuhizi kuvaa suruali kubwa ndyo wanaita fashionIla nguo zingine zinakuwa kubwa mno,unaweza zoa matakataka!
Poa ila jikubali, focus na mambo yako tusio mimi, huyo anaitwa Charles Manson
Hizi fasheni zingine Wacha zipite!Maana hazina usafi sana,nakumbuka enzi za suruari za Malinda mtu anakunyooshea kama kisu mkuu,panga zimenyooka balaa.Sikuhizi kuvaa suruali kubwa ndyo wanaita fashion
Lugha tu unalowa...je han'dala kichwa wazi?Hiyo sio Lugha nzuri kuitumia kwa mwanaume mwenzako.