Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 1,906
- 5,000
Wakuu mpo salama? Jana (August 19) tulishuhudia mengi back to back, huku RPC akahamishwa nkule watuhumiwa wakafikishwa mahakamani, lakini kwaini watuhumiwa wanne?
Walikuwa 6 ikiwemo na yule aliyetambulishwa kama 'afande' pamoja na mtu wa 5, ambako kwenye video watano wote walionekana. Sasa huyu watano yuko wapi na afande yuko wapi? Vielelezo vyote mnavyo kwanini wawili wasifikishwe mbele ya sheria kuwajibika kwa udhalimu wao?
Soma Pia: Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani
Au ndio mnajipanga kutuletea watu wa mchongo kama yule jamaa aliyegongwa na mwendokasi? Uzuri ni kwamba wasamalia wema walishawasaidia kila kitu, mpaka kumtaja afande huyo, safari hii wananchi tunasimama kidete, lazima afande huyo awajibishwe kwa ukatili waliofanya.
Pia soma: Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo
Bila kuwajumuisha na wao Watanzania hatutaelewa, hili mkae mkijua.
Walikuwa 6 ikiwemo na yule aliyetambulishwa kama 'afande' pamoja na mtu wa 5, ambako kwenye video watano wote walionekana. Sasa huyu watano yuko wapi na afande yuko wapi? Vielelezo vyote mnavyo kwanini wawili wasifikishwe mbele ya sheria kuwajibika kwa udhalimu wao?
Soma Pia: Watu 4 wanaotuhumiwa ‘kutumwa na afande’ kumlawiti na kumbaka binti mkazi wa Yombo Dovya Mkoani Dar, Wafikishwa Mahakamani
Au ndio mnajipanga kutuletea watu wa mchongo kama yule jamaa aliyegongwa na mwendokasi? Uzuri ni kwamba wasamalia wema walishawasaidia kila kitu, mpaka kumtaja afande huyo, safari hii wananchi tunasimama kidete, lazima afande huyo awajibishwe kwa ukatili waliofanya.
Pia soma: Mrakibu Msaidizi wa Polisi Fatuma Kigondo afunguliwa shtaka la kutuma vijana kufanya ukatili kwa binti wa Yombo
Bila kuwajumuisha na wao Watanzania hatutaelewa, hili mkae mkijua.