Afande aliyetajwa kwenye kesi ya 'Binti wa Yombo', sio mwanamke

Afande aliyetajwa kwenye kesi ya 'Binti wa Yombo', sio mwanamke

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakili Edwin Mugambila, Mtendaji Mkuu wa Mtandao wa Kitaifa wa Kupinga Usafirishaji Haramu wa Binadamu, amesema:

"Kwanini huyu Afande anayehusika kwanini hajashtakiwa? Tumefanya vikao sana na mwendesha mashtaka Dodoma yaani mpaka kesi inakamilika sisi tulipiga kambi Dodoma Mimi na mwenzangu wa Mkuki. Katika majadiliano ili mtuhumiwa yoyote apelekwe mahakamani sheria ilivyo sasa hivi ni lazima ufanyike uchunguzi na ushahidi wa kutosheleza kumpeleka mtuhumiwa mahakamani. Sasa connection ya huyu mama, huyu Afande anayetajwa ingetokea wakati gani?

Pia, Soma: 'Afande Fatma' afika Mahakamani, Hakimu aahirisha Kesi ya 'Binti wa Yombo' hadi Oktoba 7, 2024

"Wakati uchunguzi unaendelea wakati wanawahoji wale washtakiwa pamoja na binti mwenyewe hakuna yoyote kati ya wale aliyemwingiza yule Afande tunayemsikia yule Afande Fatma Kigondo. Hakuna aliyemuingiza kwenye ule mchezo.

"Binti alivyohojiwa alisema alikuwa akionyeshwa picha anasema aliambiwa aombe radhi kwa Afande lakini picha aliyokuwa akionyeshwa ni picha ya mwanaume aliyevaa magwanda ya kijeshi"- Wakili Edwin Mugambila

#PbCloudsFM | Oktoba 3
IMG_0043.jpeg

Soma: Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
 
Kumbe tulilishwa Matango pori na wale wanaharakati uchwara na maitelijensia uchwara pia wa x kina Buyobe na genge lake.

Wakaja na picha cha polisi wa kike wa pale bungeni na blahblah za kutosha sijui alishawahi kuishtaki jf na maporojo kibao kumbe mtu mwenyewe hawamjui na nimwanamke .

Wakamuombe msamaha yule dada au wasubiri kushtakiwa kwa defamation case.

USSR
20241004_004630.jpg
20241004_004625.jpg
 
Kumbe tulilishwa Matango pori na wale wanaharakati uchwara na maitelijensia uchwara pia wa x kina Buyobe na genge lake.

Wakaja na picha cha polisi wa kike wa pale bungeni na blahblah za kutosha sijui alishawahi kuishtaki jf na maporojo kibao kumbe mtu mwenyewe hawamjui na nimwanamke .

Wakamuombe msamaha yule dada au wasubiri kushtakiwa kwa defamation case.

USSR
View attachment 3114637View attachment 3114638
Huyo Wakili alishajulikana kuwa pandikizi la mfumo, Clouds wamelishwa tango pori
 
Inanichanganya, huku wanasema KESI HADI OKTOBA 7 na leo ni 4


Huku wamehukumiwa kifungo cha maisha


Wanahukumiwaje maisha kabla ya hiyo October 7?
 
Wakili Edwin Mugambila, Mtendaji Mkuu wa Mtandao wa Kitaifa wa Kupinga Usafirishaji Haramu wa Binadamu, amesema:

"Kwanini huyu Afande anayehusika kwanini hajashtakiwa? Tumefanya vikao sana na mwendesha mashtaka Dodoma yaani mpaka kesi inakamilika sisi tulipiga kambi Dodoma Mimi na mwenzangu wa Mkuki. Katika majadiliano ili mtuhumiwa yoyote apelekwe mahakamani sheria ilivyo sasa hivi ni lazima ufanyike uchunguzi na ushahidi wa kutosheleza kumpeleka mtuhumiwa mahakamani. Sasa connection ya huyu mama, huyu Afande anayetajwa ingetokea wakati gani?

Pia, Soma: 'Afande Fatma' afika Mahakamani, Hakimu aahirisha Kesi ya 'Binti wa Yombo' hadi Oktoba 7, 2024

"Wakati uchunguzi unaendelea wakati wanawahoji wale washtakiwa pamoja na binti mwenyewe hakuna yoyote kati ya wale aliyemwingiza yule Afande tunayemsikia yule Afande Fatma Kigondo. Hakuna aliyemuingiza kwenye ule mchezo.

"Binti alivyohojiwa alisema alikuwa akionyeshwa picha anasema aliambiwa aombe radhi kwa Afande lakini picha aliyokuwa akionyeshwa ni picha ya mwanaume aliyevaa magwanda ya kijeshi"- Wakili Edwin Mugambila

#PbCloudsFM | Oktoba 3
View attachment 3114568
Soma: Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
Binti alivyohojiwa alisema alikuwa akionyeshwa picha anasema aliambiwa aombe radhi kwa Afande lakini picha aliyokuwa akionyeshwa ni picha ya mwanaume aliyevaa magwanda ya kijeshi"- Wakili Edwin Mugambila😂😂😂
Kwamba huyo afwande ni ngangaripoa?🥺🙌🏿🙌🏿🏃🏿
 
Bahari mbaya inabidi tusikilize hata wapumbavu, sasa kama hakuna ushahidi, ulitaka apelekwe Mahakamani kufanya nini?
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Back
Top Bottom