Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Wakili Edwin Mugambila, Mtendaji Mkuu wa Mtandao wa Kitaifa wa Kupinga Usafirishaji Haramu wa Binadamu, amesema:
"Kwanini huyu Afande anayehusika kwanini hajashtakiwa? Tumefanya vikao sana na mwendesha mashtaka Dodoma yaani mpaka kesi inakamilika sisi tulipiga kambi Dodoma Mimi na mwenzangu wa Mkuki. Katika majadiliano ili mtuhumiwa yoyote apelekwe mahakamani sheria ilivyo sasa hivi ni lazima ufanyike uchunguzi na ushahidi wa kutosheleza kumpeleka mtuhumiwa mahakamani. Sasa connection ya huyu mama, huyu Afande anayetajwa ingetokea wakati gani?
Pia, Soma: 'Afande Fatma' afika Mahakamani, Hakimu aahirisha Kesi ya 'Binti wa Yombo' hadi Oktoba 7, 2024
"Wakati uchunguzi unaendelea wakati wanawahoji wale washtakiwa pamoja na binti mwenyewe hakuna yoyote kati ya wale aliyemwingiza yule Afande tunayemsikia yule Afande Fatma Kigondo. Hakuna aliyemuingiza kwenye ule mchezo.
"Binti alivyohojiwa alisema alikuwa akionyeshwa picha anasema aliambiwa aombe radhi kwa Afande lakini picha aliyokuwa akionyeshwa ni picha ya mwanaume aliyevaa magwanda ya kijeshi"- Wakili Edwin Mugambila
#PbCloudsFM | Oktoba 3
Soma: Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela
"Kwanini huyu Afande anayehusika kwanini hajashtakiwa? Tumefanya vikao sana na mwendesha mashtaka Dodoma yaani mpaka kesi inakamilika sisi tulipiga kambi Dodoma Mimi na mwenzangu wa Mkuki. Katika majadiliano ili mtuhumiwa yoyote apelekwe mahakamani sheria ilivyo sasa hivi ni lazima ufanyike uchunguzi na ushahidi wa kutosheleza kumpeleka mtuhumiwa mahakamani. Sasa connection ya huyu mama, huyu Afande anayetajwa ingetokea wakati gani?
Pia, Soma: 'Afande Fatma' afika Mahakamani, Hakimu aahirisha Kesi ya 'Binti wa Yombo' hadi Oktoba 7, 2024
"Wakati uchunguzi unaendelea wakati wanawahoji wale washtakiwa pamoja na binti mwenyewe hakuna yoyote kati ya wale aliyemwingiza yule Afande tunayemsikia yule Afande Fatma Kigondo. Hakuna aliyemuingiza kwenye ule mchezo.
"Binti alivyohojiwa alisema alikuwa akionyeshwa picha anasema aliambiwa aombe radhi kwa Afande lakini picha aliyokuwa akionyeshwa ni picha ya mwanaume aliyevaa magwanda ya kijeshi"- Wakili Edwin Mugambila
#PbCloudsFM | Oktoba 3
Soma: Nyundo na wenzake wakutwa na hatia, wahukumiwa kifungo cha Maisha Jela