Afande aliyetajwa kwenye kesi ya 'Binti wa Yombo', sio mwanamke

Kwa hiyo afande polisi mwanaume ameolewa na mwanaume?
 
Inafikirisha inawezekana hii kauli ya wakili yupo sahihi maana huyo mwanajeshi ndio aliwatoa hao vijana kafara ingekua njagu angewatoa manjagu wenzie kafara pia pana vitu vimefunikwa hapo..
 
Bahari mbaya inabidi tusikilize hata wapumbavu, sasa kama hakuna ushahidi, ulitaka apelekwe Mahakamani kufanya nini?
Watanzania wengi hawajui nini maana ya ushahidi wa kimahakama,wao wanazani maneno matupu yanatosha kua ushahidi, wakati ushahidi ni zaidi ya maneno matupu!!
 
Ni Kesi mbili tofauti, usichanganyikiwe
 
ukifikiria ni uongo kuna nama kuna ukweli ila bado wanatuficha labda uyo dada aliwachanganya washikaji hao wakaamua kwenda kumpiga mtungo
Hata mim nilishangaa inawezekanaje polis kumtuma mwanajeshi wa jwtz na askari wa magereza wakati ana watoto wajinga wengi tu karibu yake na wanaomtii zaidi
 
Picha ya huyo afande wa kiume ipo wapi?

Police Wanavyopenda kulindana wangeshaiachia kumsafisha ACP wao.
 
Spinning kama Spinning, na waTZ walivyo na vichwa kama kuku wana spin kwelikweli.
 
Amelidharirisha jeshi huyu wakili anataka kusema nini kwamba mambo ya Pdidy yapo mpaka jeshini?
 
Hadi hapo inaonekana hakuna uchunguzi wowote uliofanyika.kwasababu ungefanyika uchunguzi hizo hoja zote zingepata majibu sahihi kwasababu watuhumiwa tayari wako korokoroni na aliyefanyiwa hicho kitendo wako naye.
 
Hii case inazidi kutuchanganyaa? Ile video kule mwisho wale washenzii walikua wanasema wamuombe msamaha Afande,

Kunae mwingine alidakia, "usirudie tena kutembea na waume za watu" sasa huyu afande wa kiume nae ana mume wake?

Kheeeeh mbna hayaa mapyaaaa, Woiiiiiiii!!!!
 
"Aroo Afande Chapombe inuka bwana usije ukapasuliwa yai ukatia aibu jeshi" Kali P
Inaonekana afande wamemstahi kuepuka kutia aibu jeshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ