Afande anasemaje? Tulale na mapanga au silaha?

Afande anasemaje? Tulale na mapanga au silaha?

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Sasa ndio amekusudia kutuambia Jeshi la polisi limeshindwa kuwadhibiti majambazi na wezi wavunja madilisha na milango wakiwemo vibaka wa njia za mkabulini?

Wapemba wao huko kwao Pemba huwaga wanatembea na visu kiunoni mkubwa kwa mdogo.

Ila Hapa TzB inaruhusiwa mtu kutembea na silaha kama panga na haitomlazimisha polisi aliekosa la kufanya kukukamata ? Je polisi wameruhusu wananchi kujilinda kwa kutumia silaha?

Kutega umeme, kuna majambazi wanafunga njia,kuna majambazi aina ya panya road na tunapoamua kujilinda, tutakuwa salama kwenye mikono ya sheria na haswa polisi, kule TzV nafikiri wanawakata mikono wezi. Ila kujilinda bado ,sidhani hata kama wanalala na gongo.
 
Ukiona mtu kwake analala Hana panga huyo ni mzembe na ana upungufu wa akili.

Mtu timamu kwake lazima awe na bastola au silaha yeyote

Kuna kitu kinaitwa dharura.

Hata hayo mataifa makubwa yenye vyombo vya ulinzi vilivyotukuka Kama fbi,police kila kukicha watu huuliwa na kuvamiwa..polisi hawezi kuja kulinda nyumba yako na hujui adui atakubadilika muda gani hata huko vituoni na magereza Kuna wahalifu wengi kila kukicha wezi na wahalifu huzaliwa
 
Back
Top Bottom