Afande Bageni akwama tena; Ombi: Asinyongwe

Afande Bageni akwama tena; Ombi: Asinyongwe

Ila majuto ni mjukuu. Najua atakuwa anajutia sana kwa haya yanayotokea kwani hana kampani tena huko gerezani. Tutende haki kwa nafasi zetu, nafasi hutuacha, nafsi ipo na wewe. Ndo maana ukitaka kutenda lisilo haki nafsi hukusuta na kukukumbusha kuwa hili matunda yake mabaya utakuja kuyala, tena ukiwa huna mamlaka uliyonayo.
ukute jela amekutana na aliowapeleka😅, ila huyu mzee kwa mujibu wa taarifa niliyopewa na watu wa Daslamu alikuwa mpiga deal hivo basi kuna uwezekano leo angestaafu akiwa na pesa nyingi sana nje ya mafao
 
Nilikutana na binti yake anakibanda cha tigopesa. Wakati natoa pesa jina likasoma Bageni nilimuuliza akakiri kuwa ni baba yake.

Baada ya stori mbili tatu nilimuonea huruma sana.
lazima anajisikia vibaya sana
 
Mkuu vibaya sana.. nilitaka kuka'approach nimemuonea huruma sasa hivi kaback kama mdogo wangu.

Anasema maisha yao yalikuwa bomba kesi imewafilisi kabisa hakuna walichonacho.
kweli hapo lazima upatwe na huruma lakini walikosea kuifuatilia hiyo kesi wao wangetulia tu wa save hiyo hela maana Mzee wao alikwama pakubwa mno
 
Hapa kingai, jumanne, goodluck na mahita kuna la kujifinza.
Mahita hana la kujifunza hapa, Mzee wake inasemekana hawa kina zombe na wenzie walikuwa "vijana" wake so ukute mzee wake alipata mgao pia, kwa waliokuwepo mjini miaka hiyo wanadai mzee wake Mahita alikuwa zaidi ya mwanae kwenye "ma deal@
 
Mahita hana la kujifunza hapa, Mzee wake inasemekana hawa kina zombe na wenzie walikuwa "vijana" wake so ukute mzee wake alipata mgao pia, kwa waliokuwepo mjini miaka hiyo wanadai mzee wake Mahita alikuwa zaidi ya mwanae kwenye "ma deal@
Kama ni hivyo inasikitisha😢😷
 
ukute jela amekutana na aliowapeleka😅, ila huyu mzee kwa mujibu wa taarifa niliyopewa na watu wa Daslamu alikuwa mpiga deal hivo basi kuna uwezekano leo angestaafu akiwa na pesa nyingi sana nje ya mafao
Kuwakuta aliowapeleka hiyo ina asilimia kubwa sana. Kama kwao kuua ili wapore hela za watu wasio na hatia ilikuwa rahisi, vipi kumfunga mtu, au hata kumbambika makosa makubwa kama mauwaji ili either afungwe maisha au anyongwe kabisa. Damu zisizo hatia walizozimwaga zitalia daima kutoka ardhini wakitaka hukumu kwa Mungu.
 
Kuwakuta aliowapeleka hiyo ina asilimia kubwa sana. Kama kwao kuua ili wapore hela za watu wasio na hatia ilikuwa rahisi, vipi kumfunga mtu, au hata kumbambika makosa makubwa kama mauwaji ili either afungwe maisha au anyongwe kabisa. Damu zisizo hatia walizozimwaga zitalia daima kutoka ardhini wakitaka hukumu kwa Mungu.
nasikiaga hichi ulichosema ni kweli ukimuua mtu nafsi yake inakulilia
 
R.I.P Hamza msomali..
Lile lilikuwa tukio la kutukumbusha bado tuhuma za dhuluma za geshi hazijawahi kuisha.

Everyday is Saturday................................😎
 
Huyu muuaji alipaswa kunyongwa hadharan
 
Nilikutana na binti yake anakibanda cha tigopesa. Wakati natoa pesa jina likasoma Bageni nilimuuliza akakiri kuwa ni baba yake.

Baada ya stori mbili tatu nilimuonea huruma sana.
Anafanyia Maeneo gani nikamuungishe mkuu?
 
Zombe ....

Mjanja mno..
Sii mjanja bali , kesi haikuwa files vizuri ,
Mpaka leo nashindwa kuelewa Zombe kachomokaje kwenye hili sakata aisee.
Zombe alichomoka kwa kuwa alishitakiwa kwa mauaji na ilhali yeye hakuwepo eneo la tukio ,
Kama angeshitakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi yaliyosababisha mauaji , hadi leo hii angekuwa ndani.
 
Sii mjanja bali , kesi haikuwa files vizuri ,

Zombe alichomoka kwa kuwa alishitakiwa kwa mauaji na ilhali yeye hakuwepo eneo la tukio ,
Kama angeshitakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi yaliyosababisha mauaji , hadi leo hii angekuwa ndani.


Yeah, hakuwepo eneo la tukio. Ila mshahara wa dhambi mauti, analipia hapa hapa duniani. Jamaa aliishakuwa RPC katavi, akarudishwa chini ya ulinzi mkali na kufikia mahabusu.

Ila msitu wa Pande una siri nyingi sana.
 
nasikiaga hichi ulichosema ni kweli ukimuua mtu nafsi yake inakulilia

Kumbuka kisa cha Kaini aliyemuua ndugu yake Abeli kwenye kitabu cha agano la kale. Kaini alimuua Abeli kwa wivu, Mungu akamuuliza ndugu yako Abeli yuko wapi? Yeye akamwmbia mimi sijui maana mimi siyo mlinzi wake, Mungu akamwambia damu ya ndugu yako uliyoimwaga inanililia kutoka aridhini.... Ukimwaga damu ya mtu lazima, lazima damu italilia hukumu kwa Mungu.
 
Back
Top Bottom