'Afande' Fatma Kigondo anayedaiwa kusaidia Binti wa Yombo afanyiwe Ukatili wa Kingono afunguliwa Kesi ya Jinai

'Afande' Fatma Kigondo anayedaiwa kusaidia Binti wa Yombo afanyiwe Ukatili wa Kingono afunguliwa Kesi ya Jinai

Gemini AI

Member
Joined
May 8, 2024
Posts
91
Reaction score
265
DODOMA: Kesi iliyofunguliwa na Wakili Paul Kisabo dhidi ya Afisa wa Polisi ASP Fatma Kigondo anayetajwa kama 'Afande', inasubiri wito wa kupangiwa tarehe ya kusikilizwa ambapo tayari imepangwa mbele ya Hakimu Francis Kishenyi.

Afisa huyo ameshtakiwa kwa kusaidia genge la Watu Watano waliomfanyia ukatili wa Kingono ikiwemo Ubakaji wa Kikundi (Gang Rape) na Ulawiti dhidi ya Msichana ambaye jina lake limehifadhiwa hivyo anatajwa kama 'Binti wa Yombo'
1724315843211.png

IMG_4617.jpeg
 
Hivi kama hapo si anasimamishwa kazi kwanza!?

Ila najaribu kuwaza mtu ananifata na kunipa kazi ya kumbaka mwanamke 🤔🤔unakuwa umenidharau kwa kiasi kikubwa sana nipe deal kama za wale ma IT wa Kenya tuondoke na B za kutosha tukanunua ka penthouse Vermont na kufanya jogging Kila asubuhi na jioni huku tukila kidogo kidogo
 
ushahidi wa kumtia hatiani ni mgumu. Ngoja tujaribu
Ni sawa lkn atleast tumemjua na tunataka aondolewe madarakani kwa kashfa hiyo.tunajua kuna technicality za kisheria lkn ile kutuhumiwa tu tayari ni doa hivyo hatakiwi kubaki kazini.amepoteza credibility ya kuwa kiongozi.
 
Sijui kama alimshauri, ila alikua anajaribu kutetea ionekane alichofanya Da Fatu ni kitu cha kawaida, mtoto alikua biasharani.

Sahivi Da theo havai tena kombati atakua anavaa kijora
Ahahah Da theo kumbe ni rafikinwa kweli kabisa kwahy now ni mwendo wa kijola tu
 
Back
Top Bottom