Afande KOVA

kwani polisi si ni mbwa wa ccm
mbwa wako unaweza kumwagiza jambo lolote na kwa wakati wowote
mbwa humsikiliza mwenye mbwa pekee
hata kama anaenda kuchinjwa yeye yumo tu
inafedhehasha sana lakini ndo hali halisi
 
Lakini jamani hebu tujikumbushe kidogo. Mrema na Mtikila walikuwa na kesi tofauti za jinai zilizokuwa zinawakabili. Nalumbuka iliwahi kuripotiwa kwamba kuna nyakati fulani hawakufika wakati kesi zinaitwa na hakimu kutoa amri ya kukamatwa.

Hatukusikia hatua zozote za zima moto za akina Kova kuwakamata. Hivi Kova haoni haya kwa undumila kuwili wake huo? halafu Mahakama ilitoa amri ya kumkamata Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala -- akina Kova waliufyata - walikaa kimya!!! Leo hii anatuambia nini -- eti ni mtu anayefuata amri halali za mahakama! Hebu tema mate chini.
 
police force role yake ipo wazi sana haihitaji ugumu wakufikiri kama madaktari,lakini hapa kwetu inapoteza mashiko kabisaa

Mkuu naomba kutofautiana nawe hapo juu. Kazi hii yahitaji kufikiri sana kama zilivyo kazi zozote zinazo-engage intellectual faculties. Matokeo ya kutokufikiri nadhani yanayaweza kuwa na matokeo mabaya zaidi katika kazi hii. So jeshi letu wa engage katika kitu hiyo ya kusoma mazingira, kuyapima na kufanya kazi yao kama unavyo washauri.
 
Walichukua tahadhari maana dr wa ukweli hakawii kuwaambia wananchi kuvamia msafari kumkomboa mbowe, si mnakumbuku Arusha
 

nimekusoma mkuu,unajua kujieleza feeling pia ni weledi ambao nahisi mimi si mjuvi,nilitaka kusema daktari anapambana na case zisizokuwa na kanuni napia hazina waiting tym,but police kuna sheria na kanuni za kufuata na unaweza kujiuliza mara 2mbili ufanye vp,unless ukiwa katika mapambano na armed suspect..unajua hata mechanical engineer anaoverhaul engine na kubadili parts kama surgeon anavyooverhaul moyo na kubadili viungo,tofauti pekee inakuwa mechanics anaoverhaul wakati engine ipo off na dr anaoverhaul wakati moyo unapumua.japo wote wanaFIKIRI
 
unamaanisha yule bwana mwenye makengeza? Yule Jambazi tu!
 
utakuwa chini ya ulinzi, naomba ufute hii post

Toa sababu nini kimekugusa hapa kwenye hii post. Tulianza na ujima ikafuata utumwa halafu ubeberu halafu ubepari na mwisho wakasema kuna ujamaa, sasa wewe upo wapi? Acha udikteta wako ingia kwenye dunia ya kisasa, ulimwengu umebadilika.
 
unamaanisha yule bwana mwenye makengeza? Yule Jambazi tu!

Vitatu vimekugeukia wewe,ogopa kusema uongo hata Mungu alikufanya Leo upumue mpaka sasa hapendi hivyo
 
Mbona wamemuwachia wakati wametumia gharama nyingi? Kwa hili unasemaje FaizaFoxy?

Wamemuchia kabla ya kumsweka ndani kumpeleka mahakamani? au sijakuelewa? kama unaongelea gharama, hapo ndio uelewe maana ya dola kuwa na mkono mrefu, dola ikitaka kutimiza lake hakuna kutazama gharama. Ukivunja amri unaswekwa ndani tu.
 
Wamemuchia kabla ya kumsweka ndani kumpeleka mahakamani? au sijakuelewa? kama unaongelea gharama, hapo ndio uelewe maana ya dola kuwa na mkono mrefu, dola ikitaka kutimiza lake hakuna kutazama gharama. Ukivunja amri unaswekwa ndani tu.
Faiza hivi wewe ni Mtz kweli na unalipa kodi wewe?Mimi ninanapata tabu kuupata ukweli juu ya u-citizenship wako maana sioni kama unauchungu na nchi hii, kwa jinsi matumizi ya fedha ambazo ni kodi zetu zinatumika isivyosahihi na katika hali ngumu ya maisha kama hii.....eh??
 

Walewale,dont stress yr mind mkuu
 
Toa sababu nini kimekugusa hapa kwenye hii post. Tulianza na ujima ikafuata utumwa halafu ubeberu halafu ubepari na mwisho wakasema kuna ujamaa, sasa wewe upo wapi? Acha udikteta wako ingia kwenye dunia ya kisasa, ulimwengu umebadilika.


ukweli unauma....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…