Afande Mambosasa Umetahadhalisha na upotoshaji wa matumizi ya neno utekaji, kuhusiana na Tito Magoti kuwa hakutekwa; Utekaji ni nini?

Tito alijimwambafai acha alale seroo hadi jtatu kama ni jinai acha aibebe tu

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Anayejimwambafai ni yule anajiona kafanya mengi eti bila yeye hajui nchi ingekuwaje. Upuuzi mtupu. Ila hongereni nyie mnaoona poa uvunjifu wa sheria.
 
ACT huwa wanapenda kudandia treni kwa mbele mwisho wa siku wanawaacha watuhumiwa wakiteseka na familia zao kama kibendera,wamemuacha anaoza jela wanashindwa kumsaidia mama yake analia hovyo
 
Ni kweli walimteka, kumvizia mtu barabarani halafu unamfunga pingu haijawahi kuwa njia halali ya kumkamata mtuhumiwa ndani ya nchi hii, mitandao ya kijamii inasaidia sana kufichua hizi njama ovu, sasa kilichobaki ni bunge kufuta sheria ya kutopewa dhamana kwa watuhumiwa wa utakatishaji fedha, naona hiki ndicho kichaka chao kilichobaki wanapojifichia kwa maovu yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika watu ambao sitakaa niwaamini wanacho ongea kwa midomo yao, kama vina uhusiano na bongo zao ni huyu kamanda!!!
 
Wasiojulikana wameibuka tena!! Laanaturah Awamu ya tano
 
Hivi vyama vya siasa vimeshindwa kabisa kuhamasisha wananchi kuandamana kwa amani kushinikiza Serikali juu ya haya maonevu ya wazi kwa Watanzania?

Sent using Jamii Forums mobile app
Reveal your identity na wewe kama ni rahisi kihivyo mbele ya kuuawa. Inahitaji process. India nadhani wameshafikia kama 100 waliokufa juzi kwenye maandamano ya kupinga sherai inayowabagua waislamu
 
WAPUMBAVU wa Magufuli kazini. Siku yao inakuja tutawavisha matairi tuwatie kibiriti, watanzania sio wajinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…