Kwa mfano hata kama ingekuwa kweli hizo pikipiki zingesaidia nini?
View: https://youtu.be/jv_HeZjYjiE?si=pdIRnIwf8bPro00WKumbe pikipiki za SSH 2025 zilikuwa nyumbani kwa Mbowe siku ile ya "kuombwa" agombee Uenyekiti?!
Dr. Slaa anazidi kuspit facts.
Marekebisho;Nina uhakika, naweza kusema hivyo, kama ungelimpigia simu kuwa Dr. Slaa unahitajika kituo fulani cha polisi, angelikuja.
Kwanini mnamkamata usiku wa manane .....Was there a need to arrest him at midnight?
Yes, he is a criminal suspect, but I guess his criminality is not that "grave" to warrant arrest at midnight and, worse, denying him bail!
Mimi simpendi katika mapambano ya demokrasia kwa sababu alisaliti mapambano ya demokrassia aliporubuniwa na Magufuli, lakini atendewe haki na umri wake kumlaza sakafuni
Wakukamatea usiku ninani nakwanini asiwe yeye?Nina uhakika, naweza kusema hivyo, kama ungelimpigia simu kuwa Dr. Slaa unahitajika kituo fulani cha polisi, angelikuja.
Kwanini mnamkamata usiku wa manane .....Was there a need to arrest him at midnight?
Yes, he is a criminal suspect, but I guess his criminality is not that "grave" to warrant arrest at midnight and, worse, denying him bail!
Soma Pia: Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria inatuelekeza nini cha kufanya
Mimi simpendi katika mapambano ya demokrasia kwa sababu alisaliti mapambano ya demokrassia aliporubuniwa na Magufuli, lakini atendewe haki na umri wake kumlaza sakafuni
Zinaonyesha kuwa Mwenyekiti anaungwa mkono na CCM sio tetesi tena.Kwa mfano hata kama ingekuwa kweli hizo pikipiki zingesaidia nini?
Unadhani waliokuwa na pikipiki hizo zilizojaa hadi kwenye vilabu vya gongo ni ccm?Zinaonyesha kuwa Mwenyekiti anaungwa mkono na CCM sio tetesi tena.
Kwa sababu ya ushenzi tu wa hawa watu, primitive and uncultured police force!Nina uhakika, naweza kusema hivyo, kama ungelimpigia simu kuwa Dr. Slaa unahitajika kituo fulani cha polisi, angelikuja.
Kwanini mnamkamata usiku wa manane .....Was there a need to arrest him at midnight?
Hoja ziko nyingi, kumbe Mwenyekiti alisema UONGO kwamba Wanachama wamekuja kumuomba agombee wakati sio kweli ni yeye ndiye aliyewaita nyumbani kwake na kuwalipia usafiri na chakula.Unadhani waliokuwa na pikipiki hizo zilizojaa hadi kwenye vilabu vya gongo ni ccm?
Nyingi ni bodaboda kote nchini
Wanakimbiaga nchi Hao sometimesNina uhakika, naweza kusema hivyo, kama ungelimpigia simu kuwa Dr. Slaa unahitajika kituo fulani cha polisi, angelikuja.
Kwanini mnamkamata usiku wa manane .....Was there a need to arrest him at midnight?
Yes, he is a criminal suspect, but I guess his criminality is not that "grave" to warrant arrest at midnight and, worse, denying him bail!
Soma Pia: Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria inatuelekeza nini cha kufanya
Mimi simpendi katika mapambano ya demokrasia kwa sababu alisaliti mapambano ya demokrassia aliporubuniwa na Magufuli, lakini atendewe haki na umri wake kumlaza sakafuni
Sweden nako vipi?Marekebisho;
1. Slaa hakusaliti mapambano bali..
2. Mbowe alimsaliti kwa kumleta fisadi.
Slaa alikuwa radhi kuuza supermarket Canada ili aishi lkn sio kula matapushi ya mwembe..yanga
Kama yeye hauthamini uzee wake na kuanza kuropokaropoka ulitaka wampeleke Serena Hotel?Nina uhakika, naweza kusema hivyo, kama ungelimpigia simu kuwa Dr. Slaa unahitajika kituo fulani cha polisi, angelikuja.
Kwanini mnamkamata usiku wa manane .....Was there a need to arrest him at midnight?
Yes, he is a criminal suspect, but I guess his criminality is not that "grave" to warrant arrest at midnight and, worse, denying him bail!
Soma Pia: Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria inatuelekeza nini cha kufanya
Mimi simpendi katika mapambano ya demokrasia kwa sababu alisaliti mapambano ya demokrassia aliporubuniwa na Magufuli, lakini atendewe haki na umri wake kumlaza sakafuni
Tunataka kufanya utani wa kitoto na majibizano yasiyo na tija.Sweden nako vipi?