Nina uhakika, naweza kusema hivyo, kama ungelimpigia simu kuwa Dr. Slaa unahitajika kituo fulani cha polisi, angelikuja.
Kwanini mnamkamata usiku wa manane .....Was there a need to arrest him at midnight?
Yes, he is a criminal suspect, but I guess his criminality is not that "grave" to warrant arrest at midnight and, worse, denying him bail!
Soma Pia: Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria inatuelekeza nini cha kufanya
Mimi simpendi katika mapambano ya demokrasia kwa sababu alisaliti mapambano ya demokrassia aliporubuniwa na Magufuli, lakini atendewe haki na umri wake kumlaza sakafuni
Kwanini mnamkamata usiku wa manane .....Was there a need to arrest him at midnight?
Yes, he is a criminal suspect, but I guess his criminality is not that "grave" to warrant arrest at midnight and, worse, denying him bail!
Soma Pia: Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria inatuelekeza nini cha kufanya
Mimi simpendi katika mapambano ya demokrasia kwa sababu alisaliti mapambano ya demokrassia aliporubuniwa na Magufuli, lakini atendewe haki na umri wake kumlaza sakafuni