Afande Sele aachana na Uislamu, sasa anaabudu Jua!

Afande Sele aachana na Uislamu, sasa anaabudu Jua!

Wazo la afande sele halitofautiani na MTU MMOJA ALIYESEMA JEHANAMU NI JUA. ..

Ukifikiria kwa makini utakubali due to the fact that JUA ni moto unaowaka milele.

So jehanamu tunaiona kila siku ilichobaki ni kuwekwa humo tu

Mkuu jua haliwaki milele,jua ni nyota na nyota ni mkusanyiko wa superheated gases na all the time zina evaporate taratibu na mwisho wa siku gesi zote zitaisha.hii ni according to thermal dynamics law.
 
Wapo wanaoabudu wanyama, miti mikubwa, mizimu, misalaba na nyota, kama kaamua kuabudu jua kilala kheri.

Majani si mazuri jamani
 
Yule nguli wa muziki kutoka mji kasoro bahari, Mfalme pekee wa rhymes, anayependa kujiita simba dume, Selemani Msindi au Afande Sele ameama kuachana na uisilamu na sasa Mungu wake ni jua
Amedai baada ya kufikiria muda mrefu ameona aimwabudu mungu ambaye hamwoni wala hajawi ku experience uwepo wake, na kwamba ameona kwa kua Jua ndio chanzo cha kila kitu kuanzia chakula, pia jua lipo kila mahali basi hilo ndio litakuwa Mungu,
pia amesema ameacha wosia kuwa atakapoufa achomwe moto
msikilize hapa kwa undani zaidi



Anashangaza sana Kwanini asiamini hizo bangi anazovuta badala ya kuamini jua??..
 
Nakumbuka kuna siku clouds FM walikuwa wanamuhoji jamaa mmoja ambaye alienda south Africa kutafuta maisha baadae alishwashi kujiunga na Freemasonry na kuchumwa muhuri Wa moto ktk panja ambao ulimtea matatzo ya mguu baade.

Nakumbuka jamaa alisema mmongoni mwa wamasonia Wa bongo ambao alikutana nao SA na hapo bongo lodge zao huyu MTU.
Watu wakapinga sana yule jamaa ila inawezeka alichokisema jamaa kilikuwa kina maanisha
Naweza kupata chanzo cha hii habari yako?
 
Dini ya ukweli duniani ni UPENDO....haya yote mengine ni mbwembwe tu na kila mtu ana uhuru wa kuabudu chochote.

Ukimpenda mwenzako hutomuua, hutomuibia, hutomwambia uwongo, hutozini naye n.k.

Wengi tumejificha nyuma ya kivuli cha dini tunazoziamini kwa kudhani kuwa ndio tiketi ya kutenda mapenzi ya Mwenyezi Mungu.

Kuna faida gani kuishi na jirani anayefikiri wewe ni adui kwa kuwa tu hufuati dini anayoiamini yeye?

Dunia/nchi imejaa Majambazi, Wazinzi, Waongo, Wachoyo, Wauaji, Mafisadi n.k....na wote wanatokea huko huko kwenye dini tunazoziamini.

Hata kama Afande ataabudu jua lakini kama bado atakosa UPENDO wa kweli, bado hatokuwa na tofauti yoyote na wenye imani wengine.
 
freedom to worship ila tu angetuthibitishia kua hakuna alichofanyiwa na Mungu pia tangu azaliwe na akakiona
 
It makes a lot of sense kuabudu jua..kwani jua lina utukufu wa Kimungu ndani yake maana wazungu na watafiti wengi wamefika almost kila pahali isipokuwa kwenye jua sababu pale ndio Bosi that's God.

Pia jua kama jua lina utukufu wake mkubwa wa kimungu maana pale lilipo liko katika umbali sahihi na ikitokea jua likasogea mbele kidogo kuelekea Duniani basi huku duniani sisi sote tunageuka majivu na ikitokea jua likarudi nyuma kidogo basi huku Duniani kila kitu kinakuwa kinaganda na kuwa barafu. Na kwa either process hizo hapo juu maisha yanaweza kuisha Duniani.

Hivyo, afande anaweza kuwa na logic yenye mashiko kwa kuabudu jua.
 
Huyo bangi za msumbua Sana inamaana kesho tukifufuliwa jua ndio litakalo muhukumu
 
Usiamini sana macho .

Mfano
jua likiwa kali mchana utaona kwenye lami ktk upeo wako kuna maji na ukisogea karibu macho yako yatakuonyesha hamna maji kwenye lami.

Afande sele Anaamini jua ndio Mungu kwa sababu analiona na ndio maana haamini asichokiona. LAKINI pia ametuambia atakapokufa achomwe moto ili afufuliwe na malaika kwa sababu malaika wameumbwa na moto hataki kuzikwa kufufuliwa na udongo kuwa binadamu tena.

Kama anaamini macho atuonyeshe malaika anaewaamini wapo na atafufuliwa kama malaika (je malaika ni zile nyota?, au ule mwezi ndio malaika?)

Ameamini Mungu ni jua kwa sababu ameliona kwa macho. Hajatuambia anaamini malaika wapo amewaona wapi?? Kama kweli yeye anaamini anachokiona ili akifufuliwa awe malaika.
 
Hajui kwamba vyote vilivyomo ni mali ya Mungu.. Hilo jua analoliabudu nalo liliumbwa na Mungu
maneno kuntu, nadhani kama kijana atasoma na kuzingatia uliyosema atapata Akili, kwani wakati mwingine Bangi ni mbaya sana.

Wakati mwingine Anaweza Akasema Bangi tena ndiyo mungu wake.
 
Mbona jamaa katoa reasons zake nzuri tuu
Nyie tukiwa wauliza dini zenu mtaishia kusema ooh vitab vina sema, na vitisho vingii

Dini ni creation of man, hakuna alo wahi kumuona Mungu, afande ana ongeaga vitu vingi vya maana kulko washika dini ambao weng uspo kuwa dini zao wamejaa chuki tuu.
Babu zetu waliabudu hadi miti, mapango na wanyama, hamjawah kusema walivuta bangi

Sikilizeni wimbo wake wa Afrika dini zili letwa kaimba na belle 9.
 
Back
Top Bottom