Afande Sele aelezea kwanini akifa anataka mwili wake uchomwe moto - TZA_MillardAyo

Sawa asante, andika vizuri umenisumbua sana kuelewa taarifa yako.
 
Afande Sele, nunua kabisa petroli ya kutosha, sio uanze kutusumbua na uharibifu wa mazingira kwa ajili ya kuifurahisha maiti yako.
Utachomwa kwa petroli na sio kuni, ukataji miti husababisha jangwa. Kufa ufe wewe jangwa utusababishie sisi, hebu potelea mbali.
Halafu kifo hupangi wewe, je ukipotelea majini na maiti yako isionekane?
 
Sijui haya mafundisho kayatoa kwenye kitabu gani!zaidi yahapo namimi niamini sasa huenda Yale majani yameanza kufanya kazi yake !!!
 
Nahisi marasi wana tatizo sana,mwaka juzi hivi Snoop alienda kufanya tour Jamaica kujua chimbuko la Rastafarians,akabadili hadi jina ,juzi tu kabadilika tena kawa mwislam,...vivo hiyo kwa afande sele alikuwa chadema akaja ATC wakati wanajua ukiwa rasi hutakiwi uwe kiuongozi au kuchagua mtu akuongoze,sasa hivi anaongea tena mambo ya kuchomwa kitu ambacho ni tofauti na urastafarian
 
Muumbaji wa mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake, yeye ndiye anayetoa jua Mashariki hadi Magharibi na wala hana mshirika wake,ana majina yenye sifa tofauti zaidi ya 99.Kwa mujibu wa kitabu chake kitakatifu(Quran)ndivyo nitakavyozikwa.


Nani kakwambia jua linatoka mashariki kwenda magharibi? Check your fact, ninavyojua Mimi dunia ndio inayozunguka jua. Acha kusoma vitabu vilivyopitwa na wakati.
 
hii ni imani potofu. asaidiwe huyu afande sele jamani. yaani ameshindwa hata kufikiri kuwa jua limeumbwa na Mungu haumbwi? kama analikubali sana jua lililoumbwa atambua kuwa aliyeliumba ndiye mkubwa zaidi. pamoja na madhambi na madhaifu yetu binadamu ni viumbe wazuri sana maana tumeumbwa kwa sura na mfano wake Mungu. kuchomwa moto si kigezo cha kuungana na Mungu. kitakachokuunganisha na Mungu ni matendo mema ya mtu mbele ya Mungu. kuacha bangi na dhambi nyingine zote kutenda mema na kuishi kadiri Mungu atakavyo! si kila imani ni sawa, kwa maana sisi na imani zetu tofauti hatuwezi kumbadilisha Mungu awe tutakavyo! jamani tuwaombee watu hawa!
 
Kwani anajisikia kufakufa?
 
Na ikitokea akachomwa moto akiwa hai ? Ataomba msaada wa kuuzima ??
 
1) USIFANYE UZINZI KAMA HUNA HELA HATA YA KONDOM UTAKUFA KWA UKIMWI
2) USINYWE POMBE KAMA HUNA HELA HATA YA TAKSI WATAKUVUNJIA MAYAI
3) USIVUTE BANGI KAMA HUNA HELA YA KULA VIZURI UTAKUWA MWEHU


HIZI KANUNI TATU NI KANUNI NZURI SANA UKIAMUA KUZIISHI
 
Bila mkuki moyoni ,utakua hujamtendea haki Afande
 
afande ana vuta sana bange alihojiwa majuzi tu redioni aka kiri yeye huwa ana puliziamo sana bange huenda ndo zina mfanya mpaka kuongea ivo na kuvua nguo majukwani!?
Mjombaaaa, walimuhoji redio gani? Unaweza tuletea evidence mjomba?
 
Snoop alishindwa misingi na nguzo za imani ya rasta,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…