yajutu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 951
- 1,206
Hahaha zilikua bangi tuAtueleze kwanza siku ile alipovua suruali jukwaani na kubakia na boxer alikuwa na maana gani? Hakuona watoto kama Lulu anayemsemea wangekwazika kimaadili kwa yeye kubaki na boxer? Mpumbavu kwelikweli!