Hahaha zilikua bangi tuAtueleze kwanza siku ile alipovua suruali jukwaani na kubakia na boxer alikuwa na maana gani? Hakuona watoto kama Lulu anayemsemea wangekwazika kimaadili kwa yeye kubaki na boxer? Mpumbavu kwelikweli!
Umenena vyema....huyo afande naye ni mnafiki kuliko hao anaowaona wanafiki.Afande mbona hakuyasema haya wakati Kanumba yuko hai ?? Huenda pengine angeokoa uhai wa Kanumba na Lulu angekuwa hata chuo kikuu na siyo gerezani.
NB: Ni maneno mazuri lakini anachofanya ni unafiki kwasababu marehemu hayupo! Kinga ni bora kuliko tiba!
Naheshimu mawazo.Mm sijamwelewa hata Kidog, na ww ukitaka uamini jera sio kuzuri jaribu kuua bila kukusudia!
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
huyu ni mvuta bangee tuu maneno yake ni mimoshi tupuNimekuelewa Afande haya ni maneno yanayoumiza sana lakini ni ukweli mtupu