Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Kwa hiyo wewe unasemaje? Kwa mtazamo wako Sugu ni mbaya au mzuri? Mwenzako ameanza kutafuta wanaume wazuri naona na wewe unataka kumuiga...lakini amesema ukweli au uongo? kipi cha uongo hapo?
Tangazo la nafasi za kazi linasema moja ya sifa kuu 'ni lazima uwe kichaa'.Hahaha nimecheka sana
Afu wote sura zile zile anakaa anamuita mwenzie vibaya
Ila jamaa kweli ana mambo ya kike
Hizi nliziskia MorogoroAfande sele ni looser maisha yamempiga alikua anaishi nyumba ya ukweni tokea mama tunda afariki kapoteza uelekeo kaishia kuwa king'asti, alimsaliti 20% aliyekua akimlisha yeye na familia yake
Usiseme wanaume sema afande selekumbe wanaume nao wanachambana?
Mama tunda alifanyake tenaSele mseng......n.&ya....ji tu koro aliyepoteza uelekeo.Anamtusi sugu ambaye ni babaake wa kitaa.Bangi+laana ya sugu+laana ya mama tunda+usela mavi ndio vinazidi kummaliza.Mwanamme shababi huwezi kumuita mwanaume mwenzako mbaya.Halafu yeye aliyewahi kuzaa na aliyechelewa nani ana maisha mazuri kibongobongo?Mngese na kocho tu na vyeo atavisikia kwa wenzake tu.
Stress as a looserDah! Afande Sele ni moja ya wasanii wanaotoa nyimbo zenye maadili ndani yake ; lakini sijui nini kinamchanganya!
Selle anafanya wavutaji tuonekane hatuna maana wakati humu maofisini serikali imetupa dhamanaKweli anawaharibia wavuta bangi ila bangi yake ndo inamtia mchizi mbona wengine wastaarabu tu na bangi zao
Alichapiwa mkewe (rip mama tunda) na DJ mdogo wa DJ John Dilinga Maclaw, wa pale Samaki, KihondaNdomana alichapiwaga mke wake yule (rip)na dj mmoja wa samaki moro....jamaa nlimkuta anatoka makamasi +kuliaa.....jing@ tu
Ova
Dj John syoAlichapiwa mkewe (rip mama tunda) na DJ mdogo wa DJ John Dilinga Maclaw, wa pale Samaki, Kihonda
Yaani hizi nguo kwa kushabikia Ujinga Hamjamblakini amesema ukweli au uongo? kipi cha uongo hapo?