Afande Sele amtukana matusi mazito Sugu

Ooooh ok
Sasa hapo ufanano wa faiza na sugu moto chin uko wapi? Sema faiza na sele akili yao moja tena walitakiwa wawe mume na mke coz wote wana mipasho!
Hahaha.....huyo faiza ni hatari zaidi coz kuna siku alivaa pampers. Sasa kwa hali hiyo sio mchezo
 
Ooooh ok
Sasa hapo ufanano wa faiza na sugu moto chin uko wapi? Sema faiza na sele akili yao moja tena walitakiwa wawe mume na mke coz wote wana mipasho!
Sele anasubiri kwa faiza coz huyu mwananke nadhani anavuta bangi ya daraja LA kwanza
 
Mtu yeyote anaye pinga uumbaji wa Mungu anamatatizo ya akili na hajitambui kwanini yeye yupo hivyo na wengine wapo vile
 
Mwanaume aliekamilika hawezi kumwambia mwanaume mwenzie ana sura mbaya anataka awe na sura nzuri ili iweje
Kweli kabisa nkuu, unajua cc wengine wa ntwara tunanshangaa huyu jamaa
 
Wacha kijiko kiitwe kijiko,kwani sugu ni mrefu

Wacha kijiko kiitwe kijiko sasa ulitaka aseme Mr Sugu ni mrefu au ni handsome?wengine hawasemagi uongo bana,kama wewe ni short basi unabaki hivyo hivyo mimi sioni kosa la Afande.
Sawa ila jamaa anavyosema ana sura mbaya alitaka jamaa amwoe? Na ndio sababu ukisoma comments za wabobezi wanasema sele ana mambo ya kifele
 
Mkuu umenichekesha sana, ana kichwa kilichobeba nywele, ulimi na ubongo. Hatare sana
 
Hahahaha.....ndio hivyo sasa, keshakuwa wa mrengo huo
 
Hivi kuwa na watoto nayo ni mafanikio
 
Ila ni kweli sugu ni mfupi
Hayo mengine sio maneno mazuri afande sele aache utoto
Kuna mtu alijiumba? Nafikiri tusiikosoe kazi ya muumba mfupi, mrefu good looking wote ni waja wa Mungu tukosoe matendo yao.
Watoto ni zawadi Mungu anatupa kwa wakati anaotaka yeye na akiamua hakupi yote ni kumshukuru Mungu. Uwe umepata mtoto ukiwa kijana au uzeeni shukurani aende kwa Mungu
 
Ni mfupi lakini mwenzake ana hela. Yeye mrefu lakini kazi kuvua chupi jukwaani mbele ya wanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…