Pre GE2025 Afande Sele awachana CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sikiliza Afande Sele alivyowashukia CHADEMA hapa

Pamoja na kutumia lugha Kali lakini chukueni mazuri yake kwenye huu ujumbe .Mimi pia napenda upinzani ushinde 2025 lakini sioni upinzani smart kichwani. Guys if you get a mic on mouth get to say what makes people have a feel on you.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…