Pre GE2025 Afande Sele awachana CHADEMA

Pre GE2025 Afande Sele awachana CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jinga hili kama majinga mengine ambayo uchawa umeyapofuswa,akosoe ccm kama kweli mkweli.
 
Mojawapo ya sababu zinazo sababisha umasikini na kukosekana kwa maendeleo bongo, ni uchache wa wavuta bangi na madawa mengine kama psychedelics katika jamii. Hii inapelekea kukosekana kwa “imaginations” na mdororo mkubwa wa kifikra.
Kama hapo, dogo Sele kaongea points nzuri, wachache wamemuelewa na kuona mantiki, wengi wanamuona mvuta kijiti, lakini ukweli ni kuwa hao wengi hawana fikra nje ya box. Bongo zimedorora, hazijawaji kupigwa shock…
Ana hoja nzito sana
Sana .... Ila tunakwepa kupitia mrango wa bange
 
Kutukana na kuongea matusi maana yake Una uwezo mdogo wa kuwasilisha hoja.
 
Ana hoja ambazo zinahitaji majibu…CCM ni chama cha mapanduzi ,chenye misingi ya kijamaa kukaa madarakani miongo hata mitatu kijamaa hakuna shida , tatizo CHADEMA kinajinasibu Demokrasia ambayo hawawezi kuishi.
 
Afande sele ni mhuni mvuta bangi ziko wapi zile picha zake akiwa jukwaani amevua nguo ameshika map*mb* ?
Asidhani tumesahau
 
Afande sele alishaliwa 0713 yake maeneo ya mafiga 1998 kwa sababu za ulevi hajapona depression
 
Back
Top Bottom