Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahisi anayoyasema yote ni ya kipuuzi? 🤣Kama Kuna mtanzani anaweza poteza mda wake kumsikiliza HUYU chizi atakua niwaajabu kuriko chizi mwenyewe sele kampoteza 20 pacent yapaswa tumpuuze
afande 🤸🤸🤸😅🤣
Hamna akiiliPunguza ubaguzi. Kwani kuwa bara Kuna shida gani?
Wa pwani ndio wanaendesha chama hicho😀😀😀Wangapi wanatoka pwani?. Kwenye kamati kuu na Halmashauri kuu CCM .
Huyu kilaza tangu amtukane Mungu nilijua dish haliko sawa
Jf ya sasa imepoteza hadhi yake kwasababu yawajinga kama hawa kuwa wengi mambo ya fb, insta yanaletwa humuNdio wapinzani wetu Hawa... Baada ya kujadiri alichoongea watu wanaanza kushanbulia yeye
Mojawapo ya sababu zinazo sababisha umasikini na kukosekana kwa maendeleo bongo, ni uchache wa wavuta bangi na madawa mengine kama psychedelics katika jamii. Hii inapelekea kukosekana kwa “imaginations” na mdororo mkubwa wa kifikra.
Kama hapo, dogo Sele kaongea points nzuri, wachache wamemuelewa na kuona mantiki, wengi wanamuona mvuta kijiti, lakini ukweli ni kuwa hao wengi hawana fikra nje ya box. Bongo zimedorora, hazijawaji kupigwa shock…
Sana .... Ila tunakwepa kupitia mrango wa bangeAna hoja nzito sana
Mkuki moyoni😀😀huyu jamaa ni Afande wa wapi na nasikia alikua msanii anawimbo gani unao trend sasa ?
Unahisi anayoyasema yote ni ya kipuuzi? 🤣
Mpaka mengine kayasahauUnahisi anayoyasema yote ni ya kipuuzi? 🤣
KabisaAmetumia lugha kali kweli ila si yote aliyoongea ya kupuuzwa.
Nyie wa visiwani mna uwezo wa kiakili sio ?Chadema kimejaa watu wa bara wengi ambao uwezo wa kiakili hawana , hawana haiba ya uongozi zaidi ya kufikiria pesa.
Piga shule wewe Acha kupost ujinga wa babaako