Tetesi: Afande Sele kuwa Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo

Basii kitakuwa chama cha wabuta bange watupu.. Twenty percent apewe ujumbe wa halimashauri kuu
 
Hivi ACT Wazalendo imeliua rasmi tawi lake la Zanzibar, na kila mtu upande unaenda kivyake?
 
Afande sele anafaa kabisa kwenye post hii..
Atakiongezea chama wanachama wengi wapya,hasa vijana! Hongera Afande! Hongereni ACT.!
 
Kama ni vyama vya upinzani kipotea basi ACT wanatakuwa wanaongoza. Walinipa wasiwasi tangu walivyo kabidhi Ilani ya chama chao kwa chama tawala nikaona hapa ni sawasawa na kuuza nyumba yako kwa kipande cha sarafu alafu unalala nje.
 
Haaa haaa Afande Sele anaweza kuleta mabadiliko makubwa ndani ya chama hasa ukizingatia siku hizi anaabudu jua baada ya kumweka kando Mtume Muhamad SAW eti haonekani hawezi kuabudu kitu/mtume asiyeonekana.

Kha! Kumbe ninyi mnamuabudu Mudi? Imani nyingine hizi kweli mfu
 
Haaa haaa Afande Sele anaweza kuleta mabadiliko makubwa ndani ya chama hasa ukizingatia siku hizi anaabudu jua baada ya kumweka kando Mtume Muhamad SAW eti haonekani hawezi kuabudu kitu/mtume asiyeonekana.
Afande sele hongera kwa kuabudu jua mkuu .
 
Kha! Kumbe ninyi mnamuabudu Mudi? Imani nyingine hizi kweli mfu
Afande Sele kamtumbua hata Mtume kweli ni Jembe atawafaa ACT nadhani kuna wengi watajiunga nao. Tangu lini uliona rasta akawa mwana za utapeli za kikristu ama kiislamu?
 
Haaa haaa Afande Sele anaweza kuleta mabadiliko makubwa ndani ya chama hasa ukizingatia siku hizi anaabudu jua baada ya kumweka kando Mtume Muhamad SAW eti haonekani hawezi kuabudu kitu/mtume asiyeonekana.
Afande Sele kamtumbua hata Mtume kweli ni Jembe atawafaa ACT nadhani kuna wengi watajiunga nao. Tangu lini uliona rasta akawa mwanadini zenu za utapeli za kikristu ama kiislamu?
 
Kha! Kumbe ninyi mnamuabudu Mudi? Imani nyingine hizi kweli mfu
We pimbi, acha dharau kwa mtu wenye wafuasi zaidi 1.7 bilioni duniani kote na iogope siku ya hukumu! kumbuka dini ya huyo unayemuita kwa kejeli ndo the fastest growing religion in the worl, kila siku watu wanaongezeka, bila hata ya mikutano na makelele kama upande wa pili wanavyokesha kujitangaza
 
Haaa haaa Afande Sele anaweza kuleta mabadiliko makubwa ndani ya chama hasa ukizingatia siku hizi anaabudu jua baada ya kumweka kando Mtume Muhamad SAW eti haonekani hawezi kuabudu kitu/mtume asiyeonekana.
jamaa kaamua kuwa pure atheist, sasa Wadhifa mkubwa hvo bila elimu duuuu , Hujuma au udhuma.
 
Sijui kwa nini Chadema bado wanahofu na Zitto, yaani Chama kina mbunge mmoja tu lakini bado mnakipiga Majungu kinawanyima usingizi.

Kama mnaona Zitto anawazidi hoja, unganeni naye basi ieleweke.!
Fuatilia kama kuna ukweli sio unaanza kubwabwaja bila utafiti
Who is zitto by the way?
 
Hoja ni kuongezeka kwa wafuasi?
Kama ni kukua kwa kasi basi sawa ila kumbuka tu wafuasi wa uzinzi ,ulevi,na waovu kwa ujumla ndo wanaoongezeka kwa kasi,
Hivyo kama wanaelekea huko,hongereni
 
Afande sele atakifikisha chama mbali sana kama Dr. Slaa alivyoifikisha chadema hapa ilipo.
 
Mkuu kwa hiyo ni kweli mudi mnamuabudu?
 
Jamani si nilisikia ameachana na ACT baada ya kukosa ubunge mwaka Wa Jana?
 
Sijui kwa nini Chadema bado wanahofu na Zitto, yaani Chama kina mbunge mmoja tu lakini bado mnakipiga Majungu kinawanyima usingizi.

Kama mnaona Zitto anawazidi hoja, unganeni naye basi ieleweke.!
Sasa hapa CHADEMA inaingiaje mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…