Kwa hali hii lazima atakuja kuvua nguo kwenye mkutano mizuka ikimpanda
Kwa hali hii lazima atakuja kuvua nguo kwenye mkutano mizuka ikimpanda
Kama Mh. Mbowe amefaa kuwa mwenyekiti, hata Afande Sele atafaa kuwa mbunge wa kupitia CHADEMA.
Wengi wameziweka kama ringtone kwenye simu zao!
Mimi namjua Afande vizuri sana yani lazima atakuja kuwazingua chadema hanaga zuri.
Kama Mh. Mbowe amefaa kuwa mwenyekiti, hata Afande Sele atafaa kuwa mbunge wa kupitia CHADEMA.
Huo wimbo wa sugu nimeusikiliza mara 5 kusema kweli ni aibu kubwa kwa kiongozi wa watu kufanya haya. Nimemdhalau sana. Jamani bangi mbaya sana.