Afande Sele na Sheikh Nurdin Kishki nani kakosea?

Afande Sele na Sheikh Nurdin Kishki nani kakosea?

Wote wamekosea ila kiongozi wa dini ningemuona ana busara kama angemtafuta muhusika na kuongea nae kujua anasumbuliwa na nini na kutafuta njia za kumsaidia kumrudisha kwenye mstari kondoo wake kuliko kufanya aliyofanya kwanza hana mamlaka hayo ya kuhukumu yeye sio Mungu.
 
Wote wamekosea ila kiongozi wa dini ningemuona ana busara kama angemtafuta muhusika na kuongea nae kujua anasumbuliwa na nini na kutafuta njia za kumsaidia kumrudisha kwenye mstari kondoo wake kuliko kufanya aliyofanya kwanza hana mamlaka hayo ya kuhukumu yeye sio Mungu.
Inawezekana kakosea lakini hakuhukumu aliomba Mungu ndio ahukumu
 
Bangi ni kitu cha hovyo sana.

Kuna jamaa mmoja alipiga mkewe barabarani baada ya kuvuta bangi.
 
Ndio kuingilia kazi za Mungu huko na kujihesabia haki
Kumuomba Mungu ni kuingilia kazi yake? Wakati sina kibarua nilikuwa namuomba Mungu nipate kibarua je nilikuwa naingilia kazi yake?
 
binafsi yangu mimi niliona jambo moja nikweli kwamba afande sele amekose tena sana tu mungu amrehemu na nilichotalajia toka kwa watumishi wa mungu ni kumjibu afande sele kwa kumuonyesha ukubwa wa mungu bila kumdhihaki wala kumuombea mabaya binafsi ningemjibu hivi.

Ndugu yangu seleman kwanza ningependa utambue uwepo wa mwenyezi mungu mungu ambaye unasema humuoni kufanya wala cjui nn hko nikwambie tu mungu ndie aliyeumba kila kitu mbingu ardhi mpaka huyo magufuri yeye ndio kamuumba lakini pia naomba nikwambie kitu kwamba.

Mwenyezi mungu ni mkwasi sana yaani haitajii chochote kutoka kwa viumbe wake nikiwemo mimi na wewe yaan tumpigie magoti tusimpigie tumsujudie tusimsujudie yeye hapungukiwi chochote mantik yangu ni kukuambia kua mungu akitaka kuwafanyia jambo binadamu wake haitajii msaada wa binadamu wake aliyewaumba mwenyewe nikwambie tu kama mwenyezi mungu anataka tanzania ifike mahala fulani hamuitajii magufuri hamuitajii kasim majariwa yaani yeyete yule hata wewe hakuitajii.

labda nikupe mifano miwili kutoka kwenye vitab vya dini coz nimewah kuwa kwenye ukrsto then uislam najua A to Z.

Mwanzon wakati uislam unaanza ilikua mtu akigundulika kua muislam anatafutwa then anateswa mpaka anakufa na watemi wa maka kipindi hicho mungu akajaalia moja kati ya majitu yenye nguvu naweza sema maka nzima kipind hicho hamza akasilim waislam wakapata hauen kwan hakuna aliyeteswa tena lakin ilikuaje katika vita vya badr aliuwawa kikatil sana inamaana mungu alikua hajui umuhimu wa hamza katika uislam na je kwanini alikubali hamza afe na je baada ya hamza kufa uislam nao ulikufa? jibu ni hapana mungu alitaka tujifunze kua yeye ni mkwasi amuitajii kiumbe si mwanadamu wala malaika

Turudi kwenye biblia nakumbuka kuna nabii mmoja wajuz watanikumbusha alijificha katikati ya mti maadui zake wakagundua kua kajificha kwenye ti wakaupasua katikati mti kwa msumeno kwani mwenyez mungu hakujua kama yule ni mtume alitambua lakini tunaludi pale pale mungu hamuitajii mtu au kiumbe chochote kufanikisha kazi yake na mimi sikuombei ufe mi nakuombea umri mlefu uendelee kuona ukuu wa mungu uliojidhihilisha machoni pako
Nabii gani huyo alijificha katikati ya mti kwenye biblia wakaja pasua mti kwa msumeno? 😂😂😂😂
 
Alipewa siku 7 awe ameshakufa lkn naona dogo bado anadunda.
 
Mbona kwenye mitandao hawarushi? Kamuomba msamaha Mungu?
M'Mungu ni mwingi wa kusamehe
kaomba radhi kwa binadamu wenzie wanaomcha Mungu
video ipoo ningekuwekea hapa sema ndo nashindwaa
 
binafsi yangu mimi niliona jambo moja nikweli kwamba afande sele amekose tena sana tu mungu amrehemu na nilichotalajia toka kwa watumishi wa mungu ni kumjibu afande sele kwa kumuonyesha ukubwa wa mungu bila kumdhihaki wala kumuombea mabaya binafsi ningemjibu hivi.

Ndugu yangu seleman kwanza ningependa utambue uwepo wa mwenyezi mungu mungu ambaye unasema humuoni kufanya wala cjui nn hko nikwambie tu mungu ndie aliyeumba kila kitu mbingu ardhi mpaka huyo magufuri yeye ndio kamuumba lakini pia naomba nikwambie kitu kwamba.

Mwenyezi mungu ni mkwasi sana yaani haitajii chochote kutoka kwa viumbe wake nikiwemo mimi na wewe yaan tumpigie magoti tusimpigie tumsujudie tusimsujudie yeye hapungukiwi chochote mantik yangu ni kukuambia kua mungu akitaka kuwafanyia jambo binadamu wake haitajii msaada wa binadamu wake aliyewaumba mwenyewe nikwambie tu kama mwenyezi mungu anataka tanzania ifike mahala fulani hamuitajii magufuri hamuitajii kasim majariwa yaani yeyete yule hata wewe hakuitajii.

labda nikupe mifano miwili kutoka kwenye vitab vya dini coz nimewah kuwa kwenye ukrsto then uislam najua A to Z.

Mwanzon wakati uislam unaanza ilikua mtu akigundulika kua muislam anatafutwa then anateswa mpaka anakufa na watemi wa maka kipindi hicho mungu akajaalia moja kati ya majitu yenye nguvu naweza sema maka nzima kipind hicho hamza akasilim waislam wakapata hauen kwan hakuna aliyeteswa tena lakin ilikuaje katika vita vya badr aliuwawa kikatil sana inamaana mungu alikua hajui umuhimu wa hamza katika uislam na je kwanini alikubali hamza afe na je baada ya hamza kufa uislam nao ulikufa? jibu ni hapana mungu alitaka tujifunze kua yeye ni mkwasi amuitajii kiumbe si mwanadamu wala malaika

Turudi kwenye biblia nakumbuka kuna nabii mmoja wajuz watanikumbusha alijificha katikati ya mti maadui zake wakagundua kua kajificha kwenye ti wakaupasua katikati mti kwa msumeno kwani mwenyez mungu hakujua kama yule ni mtume alitambua lakini tunaludi pale pale mungu hamuitajii mtu au kiumbe chochote kufanikisha kazi yake na mimi sikuombei ufe mi nakuombea umri mlefu uendelee kuona ukuu wa mungu uliojidhihilisha machoni pako
Ahsante sana..Umenifungua mimi pia kifikra maana nilishamwona shehe nurdin kama kakosea ila kwa post hiyo na majibu yako shehe nurdin Yuko sahihi kwa sababu hapo aliyetukanwa siyo Mungu tu wote tulitukanwa hadharani hivyo kumwombea mabaya afande sele hadharani siyo vibaya.
 
Back
Top Bottom