binafsi yangu mimi niliona jambo moja nikweli kwamba afande sele amekose tena sana tu mungu amrehemu na nilichotalajia toka kwa watumishi wa mungu ni kumjibu afande sele kwa kumuonyesha ukubwa wa mungu bila kumdhihaki wala kumuombea mabaya binafsi ningemjibu hivi.
Ndugu yangu seleman kwanza ningependa utambue uwepo wa mwenyezi mungu mungu ambaye unasema humuoni kufanya wala cjui nn hko nikwambie tu mungu ndie aliyeumba kila kitu mbingu ardhi mpaka huyo magufuri yeye ndio kamuumba lakini pia naomba nikwambie kitu kwamba.
Mwenyezi mungu ni mkwasi sana yaani haitajii chochote kutoka kwa viumbe wake nikiwemo mimi na wewe yaan tumpigie magoti tusimpigie tumsujudie tusimsujudie yeye hapungukiwi chochote mantik yangu ni kukuambia kua mungu akitaka kuwafanyia jambo binadamu wake haitajii msaada wa binadamu wake aliyewaumba mwenyewe nikwambie tu kama mwenyezi mungu anataka tanzania ifike mahala fulani hamuitajii magufuri hamuitajii kasim majariwa yaani yeyete yule hata wewe hakuitajii.
labda nikupe mifano miwili kutoka kwenye vitab vya dini coz nimewah kuwa kwenye ukrsto then uislam najua A to Z.
Mwanzon wakati uislam unaanza ilikua mtu akigundulika kua muislam anatafutwa then anateswa mpaka anakufa na watemi wa maka kipindi hicho mungu akajaalia moja kati ya majitu yenye nguvu naweza sema maka nzima kipind hicho hamza akasilim waislam wakapata hauen kwan hakuna aliyeteswa tena lakin ilikuaje katika vita vya badr aliuwawa kikatil sana inamaana mungu alikua hajui umuhimu wa hamza katika uislam na je kwanini alikubali hamza afe na je baada ya hamza kufa uislam nao ulikufa? jibu ni hapana mungu alitaka tujifunze kua yeye ni mkwasi amuitajii kiumbe si mwanadamu wala malaika
Turudi kwenye biblia nakumbuka kuna nabii mmoja wajuz watanikumbusha alijificha katikati ya mti maadui zake wakagundua kua kajificha kwenye ti wakaupasua katikati mti kwa msumeno kwani mwenyez mungu hakujua kama yule ni mtume alitambua lakini tunaludi pale pale mungu hamuitajii mtu au kiumbe chochote kufanikisha kazi yake na mimi sikuombei ufe mi nakuombea umri mlefu uendelee kuona ukuu wa mungu uliojidhihilisha machoni pako