Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,190
- 1,774
Adai kwamba hana sababu ya yeye kutumia pesa nyingi kutendeneza video maana ahitaji kujipaka poda, lipstick, mkorogo na kadhalika
Mara nyingi anatumia laki 5 hadi 7 kuandaa video, kwanza soko la video bongo halipo na pili video ni kwa ajili ya kufikisha ujumbe tu na si kujionesha.
Hiyo milioni moja aliitumia alipotengeneza video na Adili na ilimlazimu kwasababu ya kwenda sehemu mbalimbali..
Source clouds fm.
Mara nyingi anatumia laki 5 hadi 7 kuandaa video, kwanza soko la video bongo halipo na pili video ni kwa ajili ya kufikisha ujumbe tu na si kujionesha.
Hiyo milioni moja aliitumia alipotengeneza video na Adili na ilimlazimu kwasababu ya kwenda sehemu mbalimbali..
Source clouds fm.
