habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Nyie watu mmerogwaBangi aka ngada!! Anazan akichomwa moto mwili ukawa majivu Mungu hana uwezo wa kumfufua na aka azibiwa kwa yale aliyo kua akiyatendaa!??? Bin adam ni hataree!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie watu mmerogwaBangi aka ngada!! Anazan akichomwa moto mwili ukawa majivu Mungu hana uwezo wa kumfufua na aka azibiwa kwa yale aliyo kua akiyatendaa!??? Bin adam ni hataree!!
Hahaha mchango wakijijiAache kabisa na hela ya kuni, sio atusumbue tuu tuliobaki.
Hata Morogoro ipo kuna mhindi mmoja Rafiki yangu alichomwa alipokufa Moro maeneo ya Barabara ya kwenda Mazimbu ile ya wakimbizi original sio hii inayopitia IpoipoDar kijitonyama
Nimewabutua sana wavimba macho huko kwao... Na Ilikuwa kila nikimaliza misosi kama kawa [emoji3][emoji3][emoji3]
Nimewabutua sana wavimba macho huko kwao... Na Ilikuwa kila nikimaliza misosi kama kawa [emoji3][emoji3][emoji3]
Alipaswa kutoa mwongozo kuwa achomweje kwakuwa hata hao wanaochoma kama mabudha, wahindu nk wana dini zao... Na kuna ibada maalum ya mazishi ya kuwachoma marehemu wao.... Nimefanya sana hii kazi
Wasio na dini miili yao hufukiwa ama kutupwa porini iwe chakula cha wanyama....
Asitafute kiki wala kuwapa watoto mzigo wa mawazo
Ana uhakika gani atakufa yeye kabla ya wao
Ana hakika gani atakufa kifo cha maiti yake kupatikana?
Mwisho kama yuko serious anitafute tufunge mkataba nimpe na proforma invoice ya shughuli yote... Nitaifanya hiyo kazi kwa uaminifu na weledi mkubwa
Hivi Tanzania kuna sehem maalum ya kichoma moto maiti (CREMATION)???
😂😂😂😂Alipaswa kutoa mwongozo kuwa achomweje kwakuwa hata hao wanaochoma kama mabudha, wahindu nk wana dini zao... Na kuna ibada maalum ya mazishi ya kuwachoma marehemu wao.... Nimefanya sana hii kazi
Wasio na dini miili yao hufukiwa ama kutupwa porini iwe chakula cha wanyama....
Asitafute kiki wala kuwapa watoto mzigo wa mawazo
Ana uhakika gani atakufa yeye kabla ya wao
Ana hakika gani atakufa kifo cha maiti yake kupatikana?
Mwisho kama yuko serious anitafute tufunge mkataba nimpe na proforma invoice ya shughuli yote... Nitaifanya hiyo kazi kwa uaminifu na weledi mkubwa
[emoji2][emoji2][emoji120][emoji123][emoji106]Swahiba ninachoweza kusema kuwa hiyo fursa tayari umeona aandike invoice mfunge mkataba