Afande Sele: Wanangu, nikifa mnichome moto

Afande Sele: Wanangu, nikifa mnichome moto

Anataka Umaarufu tu Nairobi hapo watu wanapigwa kibiriti utadhani India
 
Aache na pesa kabisa ya hilo zoezi maana kuna gharama, asije akawatesa ndugu na jamaa kuchanga huku akaunti yake yeye ipo hoi.
 
Mbona na wewe unarudia kosa lile lile la Afande? Au mzee una uhakika utakuwepo siku ya mwisho ya Afande?
Alipaswa kutoa mwongozo kuwa achomweje kwakuwa hata hao wanaochoma kama mabudha, wahindu nk wana dini zao... Na kuna ibada maalum ya mazishi ya kuwachoma marehemu wao.... Nimefanya sana hii kazi
Wasio na dini miili yao hufukiwa ama kutupwa porini iwe chakula cha wanyama....
Asitafute kiki wala kuwapa watoto mzigo wa mawazo
Ana uhakika gani atakufa yeye kabla ya wao
Ana hakika gani atakufa kifo cha maiti yake kupatikana?

Mwisho kama yuko serious anitafute tufunge mkataba nimpe na proforma invoice ya shughuli yote... Nitaifanya hiyo kazi kwa uaminifu na weledi mkubwa
 
Alipaswa kutoa mwongozo kuwa achomweje kwakuwa hata hao wanaochoma kama mabudha, wahindu nk wana dini zao... Na kuna ibada maalum ya mazishi ya kuwachoma marehemu wao.... Nimefanya sana hii kazi
Wasio na dini miili yao hufukiwa ama kutupwa porini iwe chakula cha wanyama....
Asitafute kiki wala kuwapa watoto mzigo wa mawazo
Ana uhakika gani atakufa yeye kabla ya wao
Ana hakika gani atakufa kifo cha maiti yake kupatikana?

Mwisho kama yuko serious anitafute tufunge mkataba nimpe na proforma invoice ya shughuli yote... Nitaifanya hiyo kazi kwa uaminifu na weledi mkubwa
😂😂😂😂
Mkuu na wewe una uhakika gani kwamba atakufa kabla yako?
Ili hiyo kazi uifanye kweli
 
Back
Top Bottom