Nina ndugu yangu alipata kazi kwa mkataba wa mwaka mmoja na kampuni x, mkataba ukaisha, lakini hakuwahi kupewa namba ya uanachama ya mfuko wa jamii pamoja na kuwa akikatwa mchango kila mwezi.
Hawakupewa notice wala cheti cha kumaliza mkataba na hata alipoenda NSSF wakamwambia lete barua ya kusitisha mkataba na hakuwa nayo, wakati anafuatilia wakahamishiwa kwa muajiri mwingine ingawa stahiki zote zilikuwa zinatoka kampuni x iliyomuajiri mwanzoni, lakini pia mkataba umeisha na hakuna michango iliyowasilishwa wala notice ya kumaliza mkataba wala barua ya kusitisha mkataba.
Je, afanye nini kupata haki zake? Anaweza kuishtaki kampuni x na ile nyingine kivuli iliyompa mkataba wa pili?
Msaada tafadhari
Hawakupewa notice wala cheti cha kumaliza mkataba na hata alipoenda NSSF wakamwambia lete barua ya kusitisha mkataba na hakuwa nayo, wakati anafuatilia wakahamishiwa kwa muajiri mwingine ingawa stahiki zote zilikuwa zinatoka kampuni x iliyomuajiri mwanzoni, lakini pia mkataba umeisha na hakuna michango iliyowasilishwa wala notice ya kumaliza mkataba wala barua ya kusitisha mkataba.
Je, afanye nini kupata haki zake? Anaweza kuishtaki kampuni x na ile nyingine kivuli iliyompa mkataba wa pili?
Msaada tafadhari