Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee!Imenibidi nisubiri tuzike kwanza ili machungu yaishe, Kisha nilete Uzi hapa.
Ni ndugu yangu, ki ukoo yeye ni dada yangu, lakini upande wa mama huko. Mimi niliambiwa tu huyu ni dada yako na sikutaka kujua zaidi maana ishu za ukoo zinanichanganya sana.
Tumeonana December mwishoni tulipoenda kusalimia nyumbani Tukuyu.
Haijapita hata wiki toka tumeondoka kijijini tunapigiwa simu yule dogo amefariki dunia huku chanzo ikidaiwa ni kujaribu kutoa ujauzito Kwa dawa za mitishamba zilizompelekea kutoka damu nyingi mpaka mauti yalipomkuta.
Inaelezwa kwamba alikua alihofia kufukuzwa shule alikua anaingia kidato Cha tatu januari hii.
Pia alihofia ukali wa wazazi wake kwani wangeweza mfukuza nyumbani[emoji29]
So sad, miaka 17 tumeshampoteza
Umri huo kwa watoto wa kike ni hatari sana,ukiona mwanao kapita hapo mpk kafikia level ya chuo shukuru Mungu,vishawishi ni vingi sana,sasa hivi kuna boda boda,wanafunzi wenzie,mibaaazazi mijitu mizima nayo imo,ni shida kwakweli...Dah kuzaa shida kutoa nako shida...
Angevumilia apambane tu na lolote
Sema contraceptives miyayusho sanaPole sana mkuu.
Niliwah kufanya kazi sehem moja ndani ndani, wamama wengi mabinti zao walipokua wakichaguliwa tu kwenda sekondari wanakuja hospital wanakwambia muekee njiti mbili zile znazofunga kuzaa for 5 yrS.
UKiuliza kwanin wanakwambia bora ukimwi kuliko mimba.
N kitu kinaumiza sana lakn ndo tanzania yetu
Mshana Jr wewe jamaa 🤣🤣🤣🤣🤣Dogo kagoma kwenda kuzimu pekeyake kamwambia maza huko tunakwenda wote huniachi
Yaani hili Rika ndo rahs sana kushawishika wengi mIsha Yao yanaharibika hapaUmri huo kwa watoto wa kike ni hatari sana,ukiona mwanao kapita hapo mpk kafikia level ya chuo shukuru Mungu,vishawishi ni vingi sana,sasa hivi kuna boda boda,wanafunzi wenzie,mibaaazazi mijitu mizima nayo imo,ni shida kwakweli...
Ndani ndani ndo wapi...?Mbeya huko mkuu ndan ndan
OkMwakaleli
Acha tu mkuu, ukifuatilia sasa hivi akina dada wengi wameshatoa mimba tena zaidi ya moja.Hasa wa chuo
Sishangai sana, siku hizi kama limekuwa jambo la kawaida. So sad.Nilihusika kwenye utoaji wa mimba mbili za ex wangu enzi izo chuo.
Mungu anisamehe[emoji120]
Heeee bora ukimwi kuliko mimba 😅😅😅hi kaliPole sana mkuu.
Niliwah kufanya kazi sehem moja ndani ndani, wamama wengi mabinti zao walipokua wakichaguliwa tu kwenda sekondari wanakuja hospital wanakwambia muekee njiti mbili zile znazofunga kuzaa for 5 yrS.
UKiuliza kwanin wanakwambia bora ukimwi kuliko mimba. Ni kitu kinaumiza sana lakn ndo tanzania yetu