Afariki dunia akijaribu kutoa ujauzito

Afariki dunia akijaribu kutoa ujauzito

Imenibidi nisubiri tuzike kwanza ili machungu yaishe, Kisha nilete Uzi hapa.

Ni ndugu yangu, ki ukoo yeye ni dada yangu, lakini upande wa mama huko. Mimi niliambiwa tu huyu ni dada yako na sikutaka kujua zaidi maana ishu za ukoo zinanichanganya sana.

Tumeonana December mwishoni tulipoenda kusalimia nyumbani Tukuyu.

Haijapita hata wiki toka tumeondoka kijijini tunapigiwa simu yule dogo amefariki dunia huku chanzo ikidaiwa ni kujaribu kutoa ujauzito Kwa dawa za mitishamba zilizompelekea kutoka damu nyingi mpaka mauti yalipomkuta.
Inaelezwa kwamba alikua alihofia kufukuzwa shule alikua anaingia kidato Cha tatu januari hii.
Pia alihofia ukali wa wazazi wake kwani wangeweza mfukuza nyumbani[emoji29]

So sad, miaka 17 tumeshampoteza
Aiseee!
Haya mambo yanahuzunisha.


Binti ukipata mimba ni heri uvumilie uzae tu
Kutoa mimba ni kuweka rehani maisha.
 
Pole sana mkuu.
Niliwah kufanya kazi sehem moja ndani ndani, wamama wengi mabinti zao walipokua wakichaguliwa tu kwenda sekondari wanakuja hospital wanakwambia muekee njiti mbili zile znazofunga kuzaa for 5 yrS.
UKiuliza kwanin wanakwambia bora ukimwi kuliko mimba.
N kitu kinaumiza sana lakn ndo tanzania yetu
Sema contraceptives miyayusho sana
 
Umri huo kwa watoto wa kike ni hatari sana,ukiona mwanao kapita hapo mpk kafikia level ya chuo shukuru Mungu,vishawishi ni vingi sana,sasa hivi kuna boda boda,wanafunzi wenzie,mibaaazazi mijitu mizima nayo imo,ni shida kwakweli...
Yaani hili Rika ndo rahs sana kushawishika wengi mIsha Yao yanaharibika hapa
 
Pole sana mkuu.
Niliwah kufanya kazi sehem moja ndani ndani, wamama wengi mabinti zao walipokua wakichaguliwa tu kwenda sekondari wanakuja hospital wanakwambia muekee njiti mbili zile znazofunga kuzaa for 5 yrS.

UKiuliza kwanin wanakwambia bora ukimwi kuliko mimba. Ni kitu kinaumiza sana lakn ndo tanzania yetu
Heeee bora ukimwi kuliko mimba 😅😅😅hi kali
 
Back
Top Bottom