PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Hii habari ni kweli au ?maan nimeona kichwa cha habari na jina nimeshutuka sn mm nipo mbali sn jina hili Mwakitwang ni yupi najari kutafuta no ya simu yk sion plzzz hebu nipe detail plzzzSio lazima uwahi kufungua au kuanzisha thread kama hauna habari kamili. Kichwa cha kinaonyesha hauna uelewa na hiyo taarifa. Watu wako Obay PD wanaandika statement.....wakimaliza watakuja kukusahihisha. Marehemu hakuwa anachezea pisto kama ulivyoiweka.
Ni habari ya kweli mkuu. Huyo mshikaji anaitwa Abba Mwakitwange. Its an unfortunate accident.Hii habari ni kweli au ?maan nimeona kichwa cha habari na jina nimeshutuka sn mm nipo mbali sn jina hili Mwakitwang ni yupi najari kutafuta no ya simu yk sion plzzz hebu nipe detail plzzz
Imetokea pande za watu hiyo?Ni habari ya kweli mkuu. Huyo mshikaji anaitwa Abba Mwakitwange. Its an unfortunate accident.
Mhuuu,inawezekana kashutiwa,aliyemshoot anajitetea sa sa,Polisi wafanye kazi yaoNi habari ya kweli mkuu. Huyo mshikaji anaitwa Abba Mwakitwange. Its an unfortunate accident.
Kinondoni mkwajuni mkuu.Imetokea pande za watu hiyo?
Sidhani kama kulikuwa na tendo ovu au kudhamiria kwa sababu wote walikuwa marafiki kwenye tukio. Watu wako kwenye hekaheka za Polisi na Msiba.....baadae utapata taarifa kamili mkuu.Mhuuu,inawezekana kashutiwa,aliyemshoot anajitetea sa sa,Polisi wafanye kazi yao
ABBA MwakitwangeHii habari ni kweli au ?maan nimeona kichwa cha habari na jina nimeshutuka sn mm nipo mbali sn jina hili Mwakitwang ni yupi najari kutafuta no ya simu yk sion plzzz hebu nipe detail plzzz