JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, ACP Mtatiro Kitinkwi amesema tukio hilo limetokea Juni 27, 2022 majira ya saa nne asubuhi ambapo marehemu alipigwa na watu wawili na mtuhumiwa mmoja aliyejulikana kwa jina la Ally Kilingo (29) anashikiliwa na jeshi hilo huku mtuhumiwa wa pili akiendelea kutafutwa.
Kitinkwi ameeleza kuwa ripoti ya hospitali imeonesha damu ilivuja kwa ndani ya fuvu la kichwa kisha kuchanganyika na ubongo.
Source: Mashujaa FM