Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili wapate simu???Haitashangaza kusikia na mwenye simu walimuuwa
Nenda Dubai huko matajiri wa mafuta wakakunyee mdomoni. Unapewa Dola elfu 30 za kimarekani nyambaff weweUmasikini ni mbaya Sana, nitakuwa tayari kwa lolote ili nisiwe masikini.
Yes..!! Kama wao wameuwana kisa simu watashindwaje kwa mmiliki wa simu?
Mtu mmoja alieyefahamika kwa jina la Mwidini SaidI (30) Mkazi wa Kitongoji cha Kitumbini, Kata ya Kivinje Wilayani Kilwa Mkoani Lindi amefariki mara baada ya kupigwa na kitu kizito Kichwani walipokuwa wanagombea simu ya marehemu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, ACP Mtatiro Kitinkwi amesema tukio hilo limetokea Juni 27, 2022 majira ya saa nne asubuhi ambapo marehemu alipigwa na watu wawili na mtuhumiwa mmoja aliyejulikana kwa jina la Ally Kilingo (29) anashikiliwa na jeshi hilo huku mtuhumiwa wa pili akiendelea kutafutwa.
Kitinkwi ameeleza kuwa ripoti ya hospitali imeonesha damu ilivuja kwa ndani ya fuvu la kichwa kisha kuchanganyika na ubongo.
Source: Mashujaa FM
Uta kua tayari kwa lolote una maanisha nini mkuuUmasikini ni mbaya Sana, nitakuwa tayari kwa lolote ili nisiwe masikini.
Naona haujaeleweka vizuri,wakikuelewa tu kazi unayoKm kawa asee
Mohamed na mwamedi
Muhidin na mwidini
Muharrami na mwalami
Hawa wa "mw" ni wale choka mbaya always.
Kaenda kumuuliza Marehemu nani anastahili kuimiliki hiyo simuMtu mmoja alieyefahamika kwa jina la Mwidini SaidI (30) Mkazi wa Kitongoji cha Kitumbini, Kata ya Kivinje Wilayani Kilwa Mkoani Lindi amefariki mara baada ya kupigwa na kitu kizito Kichwani walipokuwa wanagombea simu ya marehemu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi, ACP Mtatiro Kitinkwi amesema tukio hilo limetokea Juni 27, 2022 majira ya saa nne asubuhi ambapo marehemu alipigwa na watu wawili na mtuhumiwa mmoja aliyejulikana kwa jina la Ally Kilingo (29) anashikiliwa na jeshi hilo huku mtuhumiwa wa pili akiendelea kutafutwa.
Kitinkwi ameeleza kuwa ripoti ya hospitali imeonesha damu ilivuja kwa ndani ya fuvu la kichwa kisha kuchanganyika na ubongo.
Source: Mashujaa FM
Usikute wewe mwenyewe una hali ngumu lakini unajifariji kwa kuwasifia wengine kwa vile tu wapo upande wako,nyie ndio mnaopenda kujisifu kuwa kabila fulani tumesoma sana huku mwenyewe unasukuma kokoteni ndio ule.Km kawa asee
Mohamed na mwamedi
Muhidin na mwidini
Muharrami na mwalami
Hawa wa "mw" ni wale choka mbaya always.