Afariki katika ugomvi wa kugombea simu ya marehemu


Huenda marehemu mwenye simu alikasirika
 
Kaenda kumuuliza Marehemu nani anastahili kuimiliki hiyo simu
 
Aisee! Yaani alipigwa na kitu kizito kichwani!

Apumzike mahali panapostahili
.
 
Tukisema umaskini ni mbaya tuelewane jamani
 
Km kawa asee
Mohamed na mwamedi
Muhidin na mwidini
Muharrami na mwalami
Hawa wa "mw" ni wale choka mbaya always.
Usikute wewe mwenyewe una hali ngumu lakini unajifariji kwa kuwasifia wengine kwa vile tu wapo upande wako,nyie ndio mnaopenda kujisifu kuwa kabila fulani tumesoma sana huku mwenyewe unasukuma kokoteni ndio ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…