Tupigwe tu ma kibuyuKumbuken lesotho akishinda Tumefeli...
1-tushinde
2-lesotho apigwe
3-hapo ndo tutakua TUMEFUZU
Sent using Jamii Forums mobile app
TUPIGWE TU shenzi typeTayari Kenya na Uganda wamefuzu...vile vile majirani zetu wa Burundi nao wamefuzu jana...kazi kwetu sisi leo jioni tukaze buti....endapo tutashindwa kufuzu itakuwa ni aibu ya mwaka kwani mashindano mara hii yamerahisishwa kwa kuongeza wigo wa idadi ya timu shiriki na ndio maana unaona kwa mara ya kwanza ukanda wa Afrika Mashariki umeweza kuingiza timu tatu mpaka sasa (jambo ambalo si kawaida).....
Hata wakituachia lesotho atakaza kuleMechi ya hisani hii tuwashukuru waganda mapema
Unaijua vizuri Afrika mashariki mkuu?!!!Tayari Kenya na Uganda wamefuzu...vile vile majirani zetu wa Burundi nao wamefuzu jana...kazi kwetu sisi leo jioni tukaze buti....endapo tutashindwa kufuzu itakuwa ni aibu ya mwaka kwani mashindano mara hii yamerahisishwa kwa kuongeza wigo wa idadi ya timu shiriki na ndio maana unaona kwa mara ya kwanza ukanda wa Afrika Mashariki umeweza kuingiza timu tatu mpaka sasa (jambo ambalo si kawaida).....
Tayari Kenya na Uganda wamefuzu...vile vile majirani zetu wa Burundi nao wamefuzu jana...kazi kwetu sisi leo jioni tukaze buti....endapo tutashindwa kufuzu itakuwa ni aibu ya mwaka kwani mashindano mara hii yamerahisishwa kwa kuongeza wigo wa idadi ya timu shiriki na ndio maana unaona kwa mara ya kwanza ukanda wa Afrika Mashariki umeweza kuingiza timu tatu mpaka sasa (jambo ambalo si kawaida).....
Hata mimi nilijiuliza hizi sio sehemu ya East AfricaRwanda na sudan hawajafuzu mkuu
Tukishinda Lesotho wapigwe au wadraw tumepita.Kumbuken lesotho akishinda Tumefeli...
1-tushinde
2-lesotho apigwe
3-hapo ndo tutakua TUMEFUZU
Sent using Jamii Forums mobile app
Unayajua anayofanya nkuruzinza? Au leo bavicha mmesahau? Vipi kuhusu museven? Unayajua anayofanya?Uganda [emoji818]️
Kenya [emoji818]️
Burundi [emoji818]️
Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.