AFCON 2019: Mpaka wakati huu timu zoote za Afrika Mashariki zimeshafuzu isipokuwa Tanzania...

kwenye imani ya dini inadaiwa Mungu ndie mgawaji. Mangapi tumepewa, eg longo longo ya wanasiasa, ufisadi wa kutisha uchaguzi zikaribiapo, etc etc, ambayo wako hawana?
 
AFCON imekuwa diluted sana vibonde wanafuzu, huko kuna hatari ya watu kuwa wanapigwa mabao mpaka tisa, kama sio kumi...
 
Rwanda je?
 
Uganda ✔️

Kenya ✔️

Burundi ✔️

Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
Burundi mbona kuna siasa za kibabe kuliko Tz na wamefuzu mkuu?
 
Jiwe ndo kiini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Honestly naombea tupigwe maana tangu Bashite aingie kwenye kamati ya ushindi kwa staz kaleta mambo ya hovyo sana.

Dsm watu wanasubiria pombe za book book. Baahite hana vision kabisa

Tupigwe tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uganda [emoji818]️

Kenya [emoji818]️

Burundi [emoji818]️

Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
We punga, huko sasa iv unawashwa tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uganda ✔️

Kenya ✔️

Burundi ✔️

Sudani Kusini, Rwanda na Tanzania hawatafuzu kamwe, Mungu anawaona kwa jicho lingine hasa kwa madhambi na dhuruma za viongozi wa mataifa haya kwa wananchi wake.
TUPIGWE TU shenzi type

Haya sasa tumeshafuzu. Linapokuja suala la nchi hakuna namna tutaungana pamoja na linapokuja suala la misisiem kujifanya yenyewe ndiyo iliyosababisha tufuzu, tutayashambulia kwa nguvu zote. Pongezi nyingi ni kwa wachezaji na benchi la ufundi na mwisho ni watanzania wote kwa ujumla wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…