Random
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 791
- 742
Ktk tim 24 zilizoshiriki michuano hii tayar timu 16 zmeshapatikana, nchi za Africa Mashariki ni Uganda peke ake wamefuzu huku TZ, Kenya na Burundi zikitupwa benchi kisubir kuryd nchini mwao au kusalia kwa gharama zao sio za CAF
Jiran zetu Angola nao hawaba chao, DR Congo wamefuzu kwa njia ya best loser, kwa hiyo ukanda huu tuna tim mbil za kushabikia yaan Uganda na DRC
Magrupu mawili mepesi kati ya 6 katika round ya mtoano iliyoisha;
1. Group C ilipokuwa TZ na Kenya
2. Group E ilipokua Mali, Tunisia Angola na Mauritania
Wepesi huo ni kutokana na makundi hayo kutotoa mshindi wa tatu imara kuzidi makundi mengine
Timu 16 zilizofuzu hatua ya 16 bora zipo kwenye alphabetical order;
1.Algeria 2. Benin 3. Cameroon 4. DR Congo
5. Egypt 6. Ghana 7. Guinea 8. Ivory Coast
9. Madagascar 10. Mali 11. Morocco 12. Nigeria 13. Senegal 14. South Africa 15. Tunisia na Uganda
Pia timu 8 zilizotupa nje ya michuano zipo kwa alphabetical order;
1. Angolaa 2. Burundi 3. Guinea Bisau 4. Kenya 5. Mauritania 6. Namibia 7. Tanzania na Zimbabwe
Timu 4 zinazotabiriwa kuweza kutwaa ubingwa wa AFCON, 2019
1. Morocco 2. Ghana 3. Egypt 4. Algeria
Timu 4 zisizidhaniwa kutwaa ubingwa wa AFCON 2019 lakini zinaweza kuonesha maajabu na kutwa ubingwa
1. Senegal 2. Nigeria 3. Cameroon na 4. Ivory Cost
Round of 16 inataanza tarehe 05 hadi tareh 08 July 2019 kwa pair mbili kucheza kila siku
Jiran zetu Angola nao hawaba chao, DR Congo wamefuzu kwa njia ya best loser, kwa hiyo ukanda huu tuna tim mbil za kushabikia yaan Uganda na DRC
Magrupu mawili mepesi kati ya 6 katika round ya mtoano iliyoisha;
1. Group C ilipokuwa TZ na Kenya
2. Group E ilipokua Mali, Tunisia Angola na Mauritania
Wepesi huo ni kutokana na makundi hayo kutotoa mshindi wa tatu imara kuzidi makundi mengine
Timu 16 zilizofuzu hatua ya 16 bora zipo kwenye alphabetical order;
1.Algeria 2. Benin 3. Cameroon 4. DR Congo
5. Egypt 6. Ghana 7. Guinea 8. Ivory Coast
9. Madagascar 10. Mali 11. Morocco 12. Nigeria 13. Senegal 14. South Africa 15. Tunisia na Uganda
Pia timu 8 zilizotupa nje ya michuano zipo kwa alphabetical order;
1. Angolaa 2. Burundi 3. Guinea Bisau 4. Kenya 5. Mauritania 6. Namibia 7. Tanzania na Zimbabwe
Timu 4 zinazotabiriwa kuweza kutwaa ubingwa wa AFCON, 2019
1. Morocco 2. Ghana 3. Egypt 4. Algeria
Timu 4 zisizidhaniwa kutwaa ubingwa wa AFCON 2019 lakini zinaweza kuonesha maajabu na kutwa ubingwa
1. Senegal 2. Nigeria 3. Cameroon na 4. Ivory Cost
Round of 16 inataanza tarehe 05 hadi tareh 08 July 2019 kwa pair mbili kucheza kila siku