wacha tuone
Mkuu sisi tulikuwa chungu cha 4, maana yake timu dhaifu kuliko zote katika Rankings za FIFA na CAF... Timu kama Tanzania, Burundi, Guinea Bissau, Madagascar nk zile unaona za mwisho kila kundi.
Kila kundi zipo kutokana na hiyo power.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo ulipowekwa utatoka?Hiyo droo ulikuwa unachezesha choon
Yohana 3:16
Tumeliwa hapo, tujipange kwa Wakenya, wakati na wao wanajipanga kwetuMkuu hawa miamba yaani mwarabu na Senegal wenye uzoefu wa michuano na wachezaji nyota kuna uwezekano wa suluhu? Au nikuulize si kuna matumaini ya kupata pointi angalau moja kwa mmoja wapo?
Ni undercat... Kenya ndio underdogNimecheka sana...it means TZ ni underdog?
Samahanini lkn...
The most underdog team.Nimecheka sana...it means TZ ni underdog?
Samahanini lkn...
Group la Uganda ndio lina nafuu zaidi, Uganda ana chance ya 70% kuvuka (kumbuka wanachukua timu bora 3 zilizoshika nafasi ya 3)
Uganda? Hawezi mfunga Egypt wala DR Congo labda Zimbabwe kidogo anaweza kumchallengeGroup la Uganda ndio lina nafuu zaidi, Uganda ana chance ya 70% kuvuka (kumbuka wanachukua timu bora 3 zilizoshika nafasi ya 3)
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashangaa DR Congo wanamchukulia poa kisa Zahera atakuwepo.Uganda? Hawezi mfunga Egypt wala DR Congo labda Zimbabwe kidogo anaweza kumchallenge
Uganda yupo pagumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app