chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,969
Uganda anaweza kutoa draw na DR Congo, Zimbabwe anaweza kumfunga, yaani katika timu zote za Africa Mashariki Uganda ndio ana nafasi kubwa ya kupitaUganda? Hawezi mfunga Egypt wala DR Congo labda Zimbabwe kidogo anaweza kumchallenge
Uganda yupo pagumu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app