Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Dual citizen imewabeba comoro kwenye national team,wale wachezaji wao wengi wana uraia pacha na wanacheza mpira ulaya madaraja ya chini,sie huku bado tunahofia uraia pacha kizembe tuMpaka sasa siamini Comoro wametuzidi vipi, jamaa wanaupiga haswa!!