AFCON 2027 : Mechi za ufunguzi na fainali kufanyika Kenya ni failure kwa viongozi Tanzania

AFCON 2027 : Mechi za ufunguzi na fainali kufanyika Kenya ni failure kwa viongozi Tanzania

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Nimesikitika sana kuona nchi ambayo kwa siku za karibuni haijashiriki wala haina perfomance nzuri katika michuano ya soka kimataifa kupewa kipaumbele mbele ya Tanzania ambayo miaka ya karibuni imefanya vizuri kimataifa, hususan barani Afrika.

Je, viongozi wetu wamelala tu wala hawahangaiki au kupigania fursa zinazokuja?

Je, uwezo wa viongozi wetu ukoje katika kunegotiate na kushawishi nafasi na fursa mbalimbali za kimichezo?

Haiwezekani uwanja wa Mkapa ambao ni maarufu zaidi Afrika kuliko huo unaojengwa huko Kenya, huku vyote vikiwa na same capacity ya watu 60,000 ukose kupewa kipaumbele mbele ya uwanja mpya unaojengwa huko Kenya ambao nao utabeba watu 60,000.

download (16).jpeg


images - 2024-07-08T130615.934.jpeg

Hii ni loss kubwa sana Tanzania! Tumepoteza mapato, tumepoteza fursa za utalii, tumepoteza mapato na nafasi ya kujitangaza Ulimwenguni!

Je, huu ni uzembe wa viongozi wetu? au viongozi wamekaa wamebweteka?

Je, ni uwezo mdogo walionao viongozi wetu?

Kwa upande mwingine naona walichofanya Afcon ni upendeleo wa dhahiri! Angalau moja kati ya mechi ya ufunguzi au fainali ingefanyika Benjamin Mkapa Stadium!

Natamani kusema watanzania tususe haya mashindano! Lakini bado hasara ni kwetu!
 
Nimesikitika sana kuona nchi ambayo kwa siku za karibuni haijashiriki wala haina perfomance nzuri katika michuano ya soka kimataifa kupewa kipaumbele mbele ya Tanzania ambayo miaka ya karibuni imefanya vizuri kimataifa, hususan barani Afrika.

Je, viongozi wetu wamelala tu wala hawahangaiki au kupigania fursa zinazokuja?

Je, uwezo wa viongozi wetu ukoje katika kunegotiate na kushawishi nafasi na fursa mbalimbali za kimichezo?

Haiwezekani uwanja wa Mkapa ambao ni maarufu zaidi Afrika kuliko huo unaojengwa huko Kenya, huku vyote vikiwa na same capacity ya watu 60,000 ukose kupewa kipaumbele mbele ya uwanja mpya unaojengwa huko Kenya ambao nao utabeba watu 60,000
View attachment 3036525

View attachment 3036526
Hii ni loss kubwa sana Tanzania! Tumepoteza mapato, tumepoteza fursa za utalii, tumepoteza mapato na nafasi ya kujitangaza Ulimwenguni!

Je, huu ni uzembe wa viongozi wetu? au viongozi wamekaa wamebweteka?

Je, ni uwezo mdogo walionao viongozi wetu?

Kwa upande mwingine naona walichofanya Afcon ni upendeleo wa dhahiri! Angalau moja kati ya mechi ya ufunguzi au fainali ingefanyika Benjamin Mkapa Stadium!

Natamani kusema watanzania tususe haya mashindano! Lakini bado hasara ni kwetu!
Duuuuh hii habari naona ni ya muda na haikupata uchangiaji wakati ni habari nyeti sana aseee.... kama ni kweli basi ni upuuzi wa mwisho huu...

#KARIA MUST GO
#MWANA FA MUST GO

MAMA MUST STAY KUWABADILISHA!!
 
Uwajibikaji Tz ni mgumu san... Hata tuu taarifa ya Nini kinaendelea huko hatupewi
 
Tatizo ni lugha ya mawasiliano inayotumika kujenga hoja na kufanya ushawishi. Linapokuja suala la mambo ya kimataifa na kizungu kutumika watanzania wengi vichwa vinaenda chini kuja kushutuka ntu chini.

Mkenya alijua kushawishi na kuonesha vitu halisi vyenye kuwavuta wafanya maamzi huku mwakilishi wetu akiwaza namna ya kusema kwa kizungu kuwa "mama anaupiga mwingi hadi unamwagika, mitano tena"
"Eh ehhh maza is beating many till spilling it, and and five again she is construct lupaso stadium with a capacite of hold 60 peoplez. Give us ze chance to to to host ze ze ze gamez"
 
Kama tukio la ufunguzi na mechi ya fainali ya hayo mashindano, vyote vinafanyikia huko huko Kenya! Basi utakuwa ni uzembe na ujinga wa hali ya juu sana kufanywa na viongozi weru wenye dhamana ya kusimamia michezo.
 
CAF sio wajinga,kuna kitu wamekiona cha ziada huko kenya kuliko kwetu tanzania,ule uwanja mpya ikiwa ni cha msingi, uwanja unajengwa kisasa,unavutia na hautajuta kwenda kutazama mechi. watanzania tujifunze kushukuru,mmepewa nafasi ya kuandaa michuano hiyo mnataka kila kitu kifanyike kwenu tu. basi tuseme mechi ya ufunguzi na fainal itafanyika tz,unafikri wakenya nao watalalamika? TUJIFUNZE KURITHIKA NA KUSHUKURU KWA HIKI KIDOGO TULICHOPATA.
 
Back
Top Bottom