Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana mdogo? Uambiwe upeleke orodha ya Vijana wadogo mtaani kwako utampeleka Mzize? Yule aliyenyoa nywele kama njiwa?Kikubwa tumefuzu
Yule kijana mdogo anazidi kujifunza mengi
Mpe muda, ni bonge la mchezaji
Mliambiwa utopolo wenye akili ni wawili tuNi utovu wa nidhamu kugoma kufanyiwa sub,wengine wanasema kocha alidhani amepata injury,lakini utaona kocha akikasirika na kuongea kwa Mzize kugoma kutoka.
Hamna mchezaji mkubwa zaidi ya timu hata Samata na Msuva hawajafanya alichofanya Mzize leo.
Kwan hujawah kuona mchezaji anafanyiwa sub na imebaki dkk 1?Sasa walimtoa wakidhani ameumia ila yeye akasema yuko fiti
Halafu zilikuwa zimebaki kama dakika 5 iwe half time si anamalizia tu?
Mwalimu wenu wa hilo somo na huo ni Manara?Mliambiwa utopolo wenye akili ni wawili tu
Ana miaka mingapi??Kikubwa tumefuzu
Yule kijana mdogo anazidi kujifunza mengi
Mpe muda, ni bonge la mchezaji
Yeye alikuwa hajaumia sana alimaamnisha yuko fiti na aliamini bado ana kitu cha kutupa shida nini?Kwan hujawah kuona mchezaji anafanyiwa sub na imebaki dkk 1?
Kwahy wanaotolewa dkk 90 hua hawana cha kutupa?Yeye alikuwa hajaumia sana alimaamnisha yuko fiti na aliamini bado ana kitu cha kutupa shida nini?
19Ana miaka mingapi??
Either team imeshinda na hawana na chakufanya tena au kocha anataka kumuingiza mchezaji kwa plan nyingine labda akalinde tu.Kwahy wanaotolewa dkk 90 hua hawana cha kutupa?
Kocha angesubiri hadi kipindi cha piliSasa walimtoa wakidhani ameumia ila yeye akasema yuko fiti
Halafu zilikuwa zimebaki kama dakika 5 iwe half time si anamalizia tu?