AFCON inayokuja Mzize asiitwe timu ya Taifa kwa utovu wa nidhamu

AFCON inayokuja Mzize asiitwe timu ya Taifa kwa utovu wa nidhamu

Ni utovu wa nidhamu kugoma kufanyiwa sub,wengine wanasema kocha alidhani amepata injury,lakini utaona kocha akikasirika na kuongea kwa Mzize kugoma kutoka.

Hamna mchezaji mkubwa zaidi ya timu hata Samata na Msuva hawajafanya alichofanya Mzize leo.
Mimi huwa ninaamini sana wakati sahihi Mungu anapowapangia jambo. Huenda angetoka muda ule yangetokea makosa tukafungwa. Ndio maana tunaambiwa usikasirike basi linapokuacha. Pambana lakini Mshukuru Mungu kwa yanayotokea.

TIMU IMEPITA
 
Ni utovu wa nidhamu kugoma kufanyiwa sub,wengine wanasema kocha alidhani amepata injury,lakini utaona kocha akikasirika na kuongea kwa Mzize kugoma kutoka.

Hamna mchezaji mkubwa zaidi ya timu hata Samata na Msuva hawajafanya alichofanya Mzize leo.
Kweli kabisa..pia hakuwa msaada kwenye kusaidia kukaba..Shabalala alizidiwa sana tofauti na alivyoingia Kibu
 
Kweli kabisa..pia hakuwa msaada kwenye kusaidia kukaba..Shabalala alizidiwa sana tofauti na alivyoingia Kibu
Itakua anamchukia sana kibu sababu yuko simba na dharau juu, ana ustaa gan wa kumvimbia kocha achilia mbali uwezo tu uwanjani, Liacheni liozee hapo yanga , si limekataa mabilioni ya pesa na amewamua kuwasikiliza mabosi mavi wa timu yake..
 
Ni utovu wa nidhamu kugoma kufanyiwa sub,wengine wanasema kocha alidhani amepata injury,lakini utaona kocha akikasirika na kuongea kwa Mzize kugoma kutoka.

Hamna mchezaji mkubwa zaidi ya timu hata Samata na Msuva hawajafanya alichofanya Mzize leo.
Mchezaji mwenyewe anaanguka peke yake
 
Shida mmeanza kuangalia mpira ukubwani haujui hata kinachoendelea ndani Mzize alipokua anafanyiwa matibabu baada ya kuumia alitoa ishara kuwa afanyiwe sub lakini baadae alivyokimbia kimbia alijiona yupo sawa kocha akataka kufanya sub mchezaji akamwambia yupo sawa anaweza kuendelea angalia mechi nyingi hizi mambo zinatokea na pia mchezaji hawezi kukataa sub ya kocha kwa kubadili mfumo ila anaweza kushauri aendelee kama aliumia..hii ilitokea pia mechi ya Brasil vs Venezuela waliyokosa Tuta mchezaji aliumia akatakiwa kufanyiwa sub yeye alienda mpaka kwenye benchi na kuwapa taarifa kuwa yupo sawa sema kocha (Morocco) nae hana nidhamu anawafokea wachezaji kama watoto wadogo ni rahisi sana kukorofishana nao wakiwa kwenye temper ya mpira.
 
Sasa asipoenda mzize aende nani? Wanaomunzisha mzize mbele ya Kibu na wenzie sio wajinga
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-312072181.jpeg
 
Back
Top Bottom