Mimi huwa ninaamini sana wakati sahihi Mungu anapowapangia jambo. Huenda angetoka muda ule yangetokea makosa tukafungwa. Ndio maana tunaambiwa usikasirike basi linapokuacha. Pambana lakini Mshukuru Mungu kwa yanayotokea.Ni utovu wa nidhamu kugoma kufanyiwa sub,wengine wanasema kocha alidhani amepata injury,lakini utaona kocha akikasirika na kuongea kwa Mzize kugoma kutoka.
Hamna mchezaji mkubwa zaidi ya timu hata Samata na Msuva hawajafanya alichofanya Mzize leo.
Naunga mkono hojaKocha angesubiri hadi kipindi cha pili
Kweli kabisa..pia hakuwa msaada kwenye kusaidia kukaba..Shabalala alizidiwa sana tofauti na alivyoingia KibuNi utovu wa nidhamu kugoma kufanyiwa sub,wengine wanasema kocha alidhani amepata injury,lakini utaona kocha akikasirika na kuongea kwa Mzize kugoma kutoka.
Hamna mchezaji mkubwa zaidi ya timu hata Samata na Msuva hawajafanya alichofanya Mzize leo.
Itakua anamchukia sana kibu sababu yuko simba na dharau juu, ana ustaa gan wa kumvimbia kocha achilia mbali uwezo tu uwanjani, Liacheni liozee hapo yanga , si limekataa mabilioni ya pesa na amewamua kuwasikiliza mabosi mavi wa timu yake..Kweli kabisa..pia hakuwa msaada kwenye kusaidia kukaba..Shabalala alizidiwa sana tofauti na alivyoingia Kibu
Mchezaji mwenyewe anaanguka peke yakeNi utovu wa nidhamu kugoma kufanyiwa sub,wengine wanasema kocha alidhani amepata injury,lakini utaona kocha akikasirika na kuongea kwa Mzize kugoma kutoka.
Hamna mchezaji mkubwa zaidi ya timu hata Samata na Msuva hawajafanya alichofanya Mzize leo.
Anamtoto wadaralasa la tano anasomesha🙌🙌Kijana mdogo? Uambiwe upeleke orodha ya Vijana wadogo mtaani kwako utampeleka Mzize? Yule aliyenyoa nywele kama njiwa?
Ni wajinga na wapumbav tu.Sasa asipoenda mzize aende nani? Wanaomunzisha mzize mbele ya Kibu na wenzie sio wajinga
Mzize akiwa na afya mwakani yuko MoroccoNi wajinga na wapumbav tu.
Hajawahi zimiliki.Kocha naye hanaakili