Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kuna ukweli fulaniAfrika posho ndogo, wengine mpaka waitishe harambee. Usitegemee salah akapiga kazi nzito kama anayopiga akiwa liverpool
Si kweli.Afrika posho ndogo, wengine mpaka waitishe harambee. Usitegemee salah akapiga kazi nzito kama anayopiga akiwa liverpool
Timu ya taifa siyo ya posho ni uzalendo zaidi. Hata Ulaya ni hivyoAfrika posho ndogo, wengine mpaka waitishe harambee. Usitegemee salah akapiga kazi nzito kama anayopiga akiwa liverpool
Kati ya mechi ambayo niliamini itakuwa super kabla ya mashindano kuanza ni Ghana Vs Cape Verde.Mechi chache zimepigwa, lakini kiukweli waliodhaniwa watatamba hali ni mbaya .
Misri tia maji tia maji huku Ghana ikiwa ulimi nje , mpaka sasa Ball Possession Ghana 30 % na wako nyuma kwa bao 1 , Cape Verde 70% ni dk ya 30 .
Ngoja tusubiri yatakayojiri .
Zilizopita zipi mkuu? Miaka ya hapa karibuni trend imekua hii hii tu. Kuna miaka hapo kati ivory coast alikua na mastaa kushinda hata mataifa makubwa ya ulaya lakini akija afcon haieleweki anacheza nini. Afcon iliishia miaka ya mwanzoni mwa 2000 pale bhana watu wanachezea passion halafu wana mpira mwingi sana mguuni sio hii ya saiv.Si kweli.
Mbona zilizopita trend haikuwa hivi?
JidanganyeTimu ya taifa siyo ya posho ni uzalendo zaidi. Hata Ulaya ni hivyo
Kila kitu kizuri kilikua zamani! hapa ndio hua nachokaZilizopita zipi mkuu? Miaka ya hapa karibuni trend imekua hii hii tu. Kuna miaka hapo kati ivory coast alikua na mastaa kushinda hata mataifa makubwa ya ulaya lakini akija afcon haieleweki anacheza nini. Afcon iliishia miaka ya mwanzoni mwa 2000 pale bhana watu wanachezea passion halafu wana mpira mwingi sana mguuni sio hii ya saiv.
Wachezaji nyota wanacheza chini ya viwango kuepuka majeruhiMechi chache zimepigwa, lakini kiukweli waliodhaniwa watatamba hali ni mbaya .
Misri tia maji tia maji huku Ghana ikiwa ulimi nje , mpaka sasa Ball Possession Ghana 30 % na wako nyuma kwa bao 1 , Cape Verde 70% ni dk ya 30 .
Ngoja tusubiri yatakayojiri .
Miaka hiyo ya nyuma kama ni kutocheza vizuri, unaona ni timu moja au mbili ila nyingine kubwa zinacheza mpira. Ila mwaka huu wakubwa wote naona kama wanachechemea. Labda tuone gemu zinazofuata.Zilizopita zipi mkuu? Miaka ya hapa karibuni trend imekua hii hii tu. Kuna miaka hapo kati ivory coast alikua na mastaa kushinda hata mataifa makubwa ya ulaya lakini akija afcon haieleweki anacheza nini. Afcon iliishia miaka ya mwanzoni mwa 2000 pale bhana watu wanachezea passion halafu wana mpira mwingi sana mguuni sio hii ya saiv.
Kweli kabisa, na kuna wachezaji wengine wanatoa fedha zao kusaidia timuMiaka hiyo ya nyuma kama ni kutocheza vizuri, unaona ni timu moja au mbili ili nyingine kubwa zinacheza mpira. Ila mwaka huu wakubwa wote naona kama wanachechemea. Labda tuone gemu zinazofuata.
Ila hoja ya masilahi natofautiana na wewe. Huku national team huwa ni posho tu na huwa hawachukulii kama national team ni sehemu ya kujipatia hela. Hamna mchezaji asiyependa kuimbwa na wakwao. Hata huyo Salah kuna gemu kadhaa muhimu huwa analia wakishindwa. Hivyo hoja ya kutokufanya vizuri kisa masilahi haina mashiko. Labda ungesema mfumo pamoja na wachezaji wanaowazunguka wakiwa national team, sawa.
Yes, hilo ni kweli. Hata Messi kuna kipindi alijitolea akawalipa walinzi wa timu yake ya taifa.Kweli kabisa, na kuna wachezaji wengine wanatoa fedha zao kusaidia timu
Hivi mchezaji kama Ronaldo atahitaji kulipwa kiasi gani timu ya taifa?