Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mechi chache zimepigwa, lakini kiukweli waliodhaniwa watatamba hali ni mbaya .
Misri tia maji tia maji huku Ghana ikiwa ulimi nje , mpaka sasa Ball Possession Ghana 30 % na wako nyuma kwa bao 1 , Cape Verde 70% ni dk ya 30 .
Ngoja tusubiri yatakayojiri .
Misri tia maji tia maji huku Ghana ikiwa ulimi nje , mpaka sasa Ball Possession Ghana 30 % na wako nyuma kwa bao 1 , Cape Verde 70% ni dk ya 30 .
Ngoja tusubiri yatakayojiri .