Kwani nyie humu mwatafuta Nini??Wewe mkenya unatafuta nini huku kwenye uzi wa watanzania?
Kumbe lengo lako kutukanana siyo!!Uwe unasoma na kuelewa wewe msukule WA John kipara!
We mkenya acha wivu wa kiboya hivi nyie watu mkoje? siku serengeti ikiingia faimnali hamchelewi kusema ni timu yenu ya kenya pambaf sana nyie wakoraKama tupo kundi Moja na Ghana basi tuhesabu yu kuwa tumemaliza hatua ya makundi kwa point 1 tuliyopata Leo!
Tena jamaa walivyokuwa wataalam wa kufungua kesi hao, wanaweza fungua kesi kwa nini Serengeti boyz imetoa sare na MaliWe mkenya acha wivu wa kiboya hivi nyie watu mkoje? siku serengeti ikiingia faimnali hamchelewi kusema ni timu yenu ya kenya pambaf sana nyie wakora
Kwani nyie humu mwatafuta Nini??
Jombaa acha kuingizwa mkenge na huyu Jitegemee, Nani mkenya?? Hawa cherengeti hawana uwezo WA kumfunga Ghana acheni kujilisha upepo!We mkenya acha wivu wa kiboya hivi nyie watu mkoje? siku serengeti ikiingia faimnali hamchelewi kusema ni timu yenu ya kenya pambaf sana nyie wakora
Mbona mali mabigwa watetezi wameshindwa kutufunga..!?Jombaa acha kuingizwa mkenge na huyu Jitegemee, Nani mkenya?? Hawa cherengeti hawana uwezo WA kumfunga Ghana acheni kujilisha upepo!
Ashanti wa toto wa Ilala walina kikundi cha ushangiliaji matata sana! Watafutwe hao.TFF Hebu acheni ubahili Timu inahitaji kikosi cha ngoma na ushangiliaji kule, kama vp kodisheni watu wapige ngoma na kuipa hamasa Timu.
Mali walikataliwa goli la wazi...Umeishaaaaaaaa
USHINDI WA KISHINDO TUMEISHTUA DUNIA
Hakuna timu ya kutufunga week! Niger na Angola nimeangalia mipira yaoMali walikataliwa goli la wazi...
Anyway labda unyonge wa performance yetu umetubeba...
Huenda mali waliamua kutuchukilia sie kama vitoto..
Lakini inatubidi tukaze mku.du...sikupenda performance ya serengeti. Wameenda kimataifa...wakomae.. Mechi ijayo tukila wiki msishangae..
Over.
timu inatupa pressure dakika zote 90 no kufurahibado kisoka vipi? vijana hawaoneshi matumaini?
oi....vijana wametoka droo....??Well done boys
Mara nyingi mechi ya kwanza kwa timu ngeni ukizingatia inakutana na bingwa mtetezi kutoka draw ni advantage kubwa tu
Naona kila mda ulivozidi kwenda nao wakazidi kuzoea uwanja na kuzidisha kujiamini
Nina matumaini makubwa na mechi yao inayofata madogo watafanya makubwa zaidi
Mna Bahati sana nyie, mimi siyo moderator wa JF na ssihusiki na TCRA wala Wizara ya habari na michezo. Mngenitambua na lugha zenu hizi zisizo na staha!Mali walikataliwa goli la wazi...
Anyway labda unyonge wa performance yetu umetubeba..
Huenda mali waliamua kutuchukilia sie kama vitoto..
Lakini inatubidi tukaze m...u...sikupenda performance ya serengeti. Wameenda kimataifa...wakomae.. Mechi ijayo tukila wiki msishangae..
Over.