Wale wa copa coca cola wako wapi?Hawa under 17 wetu kama wako below 22yrs nawatabiria kufika mbali ki soka,
Refa timeeeeeee
Kuna dogo mmoja wa Serengeti boys aliingia baadae akatoka alibanwa misuli,yule dogo anajua mpira kuliko wachezaji wrote kwenye hayo mashindano,kwa bahati mbaya kwa umri wake hawezi kuchza dk zote 90..anamiaka 15 tu!
Yule dogo ni so ata yale mashindano ya U20 alicheza na timu ya Yanga.....Kuna dogo mmoja wa Serengeti boys aliingia baadae akatoka alibanwa misuli,yule dogo anajua mpira kuliko wachezaji wrote kwenye hayo mashindano,kwa bahati mbaya kwa umri wake hawezi kuchza dk zote 90..anamiaka 15 tu!
Hii table imekosewa kidogo. Inaonyesha Angola hajafungwa.Mali wanalingana pointi na Tanzania lakini wanakaa kileleni kwa 'ustaarabu' wa Alfabeti.
Mi sikuwachukua mkuu kwahiyo sijui walipoWale wa copa coca cola wako wapi?
Huku ndo angeonesha kipaji apate academy ya nje!Yule dogo ni so ata yale mashindano ya U20 alicheza na timu ya Yanga.....
Ana kasi sana na anamiliki mpira vizuri.....
Muhimu wakitunze kipaji chake mkuuu!
Ila ana mechi mbili point moja, typing error!Hii table imekosewa kidogo. Inaonyesha Angola hajafungwa.
Huyo dogo anavaa jez namba ngapYule dogo ni so ata yale mashindano ya U20 alicheza na timu ya Yanga.....
Ana kasi sana na anamiliki mpira vizuri.....
Muhimu wakitunze kipaji chake mkuuu!
Anavaa jez namba ngapKuna dogo mmoja wa Serengeti boys aliingia baadae akatoka alibanwa misuli,yule dogo anajua mpira kuliko wachezaji wrote kwenye hayo mashindano,kwa bahati mbaya kwa umri wake hawezi kuchza dk zote 90..anamiaka 15 tu!
Jez no 7Huyo dogo anavaa jez namba ngap
Ngoja nitafute majina yao najua ntalikumbuka tu..ama kama unaweza angalia sub zilizofanyika Jana,aliyeingia badala ya dogo Ni somebody makame!!Anavaa jez namba ngap